Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,734
- 9,916
mheshimiwa rais wa makamanda wa jamhuri ya watu wa Arusha..naomba usifanye kampeni Arusha Bali kaamshe walio lala kimabadiliko huko kwingine.Arachuga hakuna magamba wala upinzani tena.watu wamechoka na masisiemu.wamebaki makamanda tu.jamhuri ilishakombolewa hii.Asante.
Hahahah,hii kali sana,Raisi wa Arusha