Aliyekuwa Meya Arusha atimkia CHADEMA

Aliyekuwa Meya Arusha atimkia CHADEMA

wagagagigikoko

Senior Member
Joined
Dec 5, 2010
Posts
163
Reaction score
49
Aliyekuwa Meya wa jiji la Arusha Paul Laizer na diwani wa kata ya Baraa (CCM) hatimae ajiunga na CHADEMA pamoja na wenyeviti wote wa mitaa wa CCM.
 
ImageUploadedByJamiiForums1438344049.403741.jpg

View attachment 272660

View attachment 272661
 
si tuliambiwa kuwa arusha hakuna c.c.m... sasa huyo ametoka chama gani tena diwani?? tuongee na kuweka akiba ya maneno ndugu zangu
 
huyu alikuwa meya wa zamani wa jiji la arusha ambaye ni diwani wa kata ya baraa,lota laiser ni kweli amehamia chadema kasoma upepo anataka kuendelea na kata hana namna chadema kaona ndiyo kimbilio pekee hongera sana lota
 
Si wanasema kuondoka kwa Lowassa hakutawatikisa? na bado! hiyo ni rasha rasha tu bado mvua yenyewe.......Makufuli Tunavunja na pombe Tunamwaga...
 
huyu alikuwa meya wa zamani wa jiji la arusha ambaye ni diwani wa kata ya baraa,lota laiser ni kweli amehamia chadema kasoma upepo anataka kuendelea na kata hana namna chadema kaona ndiyo kimbilio pekee hongera sana lota

Amechelewa sasa, si wamishafanya kura za maoni kwa udiwani? au bado?
 
Back
Top Bottom