Kama mnasubiri chadema itakufa mnajidanganyaIla kiukweli Chadema imepoteza ujasiri wake basi tu!
Tatizo la UVCCHAA hamna uwezo wa kujadili issue zinazohusu uchumi kama hiyo ya Dangote mnapenda thread za siasa na umbea kama hizi.Mabavicha hayapendi kusikia vitu kama hivi. Yamejazana kwenye stori ya Dangote yakipiga mayowe, vifijo na vigelegele.
Chama kikuu cha upinzani kudumu robo karne bila kushika dola ni sawa na mwanamke aliyefikia menopause bila kupata mtoto.
Tanzania imepiga hatua kubwa sana kimaendeleo chini ya hizi serikali zinazokosolewa na wapinzani.Kwa hiyo miaka 55 ya CCM kutawala bila kuweka impact kwa TAIFA yaani kila siku ninafuaa ya jana ni sawa na Mwanaume shoga au??
Maendeleo yapi? Weka takwimuTanzania imepiga hatua kubwa sana kimaendeleo chini ya hizi serikali zinazokosolewa na wapinzani.
Kusema heri ya Jana kuliko ya leo ni kuchelewa Ku appreciate mema ya leo.
Ni lini uliwahi kukiri CDM ni jasiri hadi leo uukane huo ujasiri? Mmekaa mnakenua tu..., "Slaa alikuwa boraaaa..."! Ni lini mlisema alikuwa shujaa pindi yupo CDM? Nyama ya mbwa koko ninyi!!!Ila kiukweli Chadema imepoteza ujasiri wake basi tu!
Wee ropoka tu huku badala mfanye mpango Shonza arudi bavicha!Ni lini uliwahi kukiri CDM ni jasiri hadi leo uukane huo ujasiri? Mmekaa mnakenua tu..., "Slaa alikuwa boraaaa..."! Ni lini mlisema alikuwa shujaa pindi yupo CDM? Nyama ya mbwa koko ninyi!!!
You must be a real freak and a joke as well! Whom do you talk about? That empty masega ya asali? Hana utamu wowote. Abaki na vibaka wenziye wa CCM, panamfaa!Yule old dame ni "political gold digger"! Kalagabaho!Wee ropoka tu huku badala mfanye mpango Shonza arudi bavicha!
mkulu kachapwa za uso baada ya kutengeneza movie yake ya propaganda sijui ni pamoja na polepole na Rc na Dc kujaribu kuibomoa Chadema Arusha sasa ushamba wao ukawekwa hadharani mpaka wameingia mitinihii track ya madiwani kuhama tuifanye zilipendwa, tufanye kazi sasa. Maana waliahidi kuunga mkono juhudi zinazofanywa na serikali, watimize ahadi yao sasa kwa kufanya kazi, na madhaifu ya chadema wawaachie wao wenyewe.