PreGE2025 Aliyekuwa diwani wa CHADEMA ahamia CCM

PreGE2025 Aliyekuwa diwani wa CHADEMA ahamia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Aliyekuwa Diwani wa kata ya Kiranyi Wilaya ya Arumeru aliyemaliza Muda wake Jun Kupitia Chadema Mhe JOHN EDWAR SENEU ( JOMBI) Leo amerudi CCM na kupokelewa na viongozi wa Tawi la ilkurei kata ya Kiranyi , Mapokezi ya Mhe JOMBI yameshudiwa na Sekretariet ya CCM Wilaya wakiongozwa na CDE CAMILA KIGOSI katibu wa CCM Wilaya Arumeru, NICHOLOUS SAWA Katibu Mwenezi wa CCM Wilaya Arumeru

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

snapins-ai_3663617178578602021.jpg
snapins-ai_3663617178570212626.jpg
 
Back
Top Bottom