Aliyekosa mkopo anapewa meal and accomodation allowance?

Aliyekosa mkopo anapewa meal and accomodation allowance?

Nashukuru. Kwakuwa hayupo hata kwenye listi hivyo ni maumivulabda ajaribu ku appeal huenda akabahatika
appeals uwe na sababu za msingi ,la sivyo ni yale yale,,,kama aligusa government basi anaweza appeal,pia kama elimu yake ilikuwa financed,anamzazi mmoja,wazazi wastaafu,na zingine.ila kama anawazazi wote wawili ,na walimsomesha private basi ni yale yale tu....Mungu yup ,mtegemee,na anahusika ndugu ,nnje ya hapo ni yale yale
 
Poleni ndugu zangu mlo kosa mikopo,kuna haja Ya serikali kuu kuliangalia hili kwa mapana ni bora uwape mikopo angalau kwa kila mtu 30% ili nao wachangie kila mtu kwa namna yake ikiwamo mtu kubalabce boom lake ama hata kwa yeye binafsi kupita ktk familia na taasisi mbalimbali kuliko kuanza kuomba msaada wa elimu kwa kila kitu mana million4 na kuendelea ni nyingi sana kumtajia mtu kukusaidia.ila kama ni kwa angalau milion1 kushuka bakuli litajaa kwa michango.mana hata wadau na uhakika wataweza kwa nafasi zao kutupia walichonacho
 
mi bdo cjaamin km ndo mchezo umeisha, iv kwel ndo tumekoxa ivyo au kuna process zinaendelea cjaelewa mjue...!
 
Back
Top Bottom