Aliyeiona payroll ya August aweke hapa

Aliyeiona payroll ya August aweke hapa

Walimu msione aibu . Achaneni na huyu mpuuzi anaewadharaulisha hapa daily. Ile ni laana tangu kuzaliwa.

Sisi walimu tunajijua na tunajitambua na tunafanya maendeleo.

Bandari imeuzwa, ndio...na hatuna la kufanya. Cha msingi tumuombe aliyeuza lile fungu atukumbuke hii august. Inasemekana eti watajumlisha zote mbili. Na iwe hivyoo.
Walimu tuko tayari kufa na kupona kumpigania Mama. Tutatembea nae, tutakula nae na tutalala nae mbelee..

Tuwekeeni Payroll.
Duh kweli ualimu ni kazi ya hovyo Yani trh 11 ushaanza kuuliza payroll inamaana salary ishakata khaaa kazi Gani hiyo Sasa unazidiwa Hadi na fundi ujenzi
 
Walimu msione aibu . Achaneni na huyu mpuuzi anaewadharaulisha hapa daily. Ile ni laana tangu kuzaliwa.

Sisi walimu tunajijua na tunajitambua na tunafanya maendeleo.

Bandari imeuzwa, ndio...na hatuna la kufanya. Cha msingi tumuombe aliyeuza lile fungu atukumbuke hii august. Inasemekana eti watajumlisha zote mbili. Na iwe hivyoo.
Walimu tuko tayari kufa na kupona kumpigania Mama. Tutatembea nae, tutakula nae na tutalala nae mbelee..

Tuwekeeni Payroll.
Subiri nimtag Mpwayungu Village
 
Walimu msione aibu . Achaneni na huyu mpuuzi anaewadharaulisha hapa daily. Ile ni laana tangu kuzaliwa.

Sisi walimu tunajijua na tunajitambua na tunafanya maendeleo.

Bandari imeuzwa, ndio...na hatuna la kufanya. Cha msingi tumuombe aliyeuza lile fungu atukumbuke hii august. Inasemekana eti watajumlisha zote mbili. Na iwe hivyoo.
Walimu tuko tayari kufa na kupona kumpigania Mama. Tutatembea nae, tutakula nae na tutalala nae mbelee..

Tuwekeeni Payroll.

 
Mkuu mwarabu kamwaga pesa mingii..
Bandari haijaenda kizembe.
Kuna ongezeko kubwaaa...
Hahahaaa!
JamiiForums-1839666285.jpg
 
Walimu msione aibu. Achaneni na huyu mpuuzi anaewadharaulisha hapa daily. Ile ni laana tangu kuzaliwa.

Sisi walimu tunajijua na tunajitambua na tunafanya maendeleo.

Bandari imeuzwa, ndio...na hatuna la kufanya. Cha msingi tumuombe aliyeuza lile fungu atukumbuke hii august. Inasemekana eti watajumlisha zote mbili. Na iwe hivyo.

Walimu tuko tayari kufa na kupona kumpigania Mama. Tutatembea nae, tutakula nae na tutalala nae mbelee..

Tuwekeeni Payroll.
Ni kweli Mpwayungu Village anazingua kwa post zisizo na kichwa wala miguu

Ila pia walimu tunazingua sana, hasa walimu wa vijijini na machawa wa CCM


Sasa mfano mtoa Uzi, umeanza vizuri ila umemalizia na uharo kisa wewe ni chawa
 
Back
Top Bottom