mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,061
- 35,978
Kwa bongo huu msosi umesababisha mimba nyingi za utotoni,usaliti,ukimwi nk.
Kama unadhani huo msosi limbwata lake ni bongo tu umekosea,haki ya nani aliyeugundua motoni moja kwa moja
Miaka kadhaa ya nyuma katika kutafuta maisha nikajikuta niko nchi moja yenye wazungu wengi,nilizoeana na mama mmoja wa kizungu ,japo alinizidi miaka kama 15,ila ujue wanawake wa kizungu wanachelewa kuzeeka sio kama wanaume wa kizungu.
Kwenye huo mji vyakula maarufu ni,cheese cake,pizza,bugger,hotdog,mutton ribs,portk ribs,chees with chicken,nk.
Ukienda supermarket unakuta mayai,irish potato na sausage za kutosha.
Siku moja nikariungurumisha chipsi zege mixer sausage nikampelekea yule mkekuru wa kizungu kazini kwake,alijiramba vidole
Weekend akaja gheto nikamchakata ,jimatatu asubuhi nikamuachia posho mezeni nikawahi kubeba mabox.
Kurudi namkuta kanunua frying pan,irish potatoes,eggs,sausages na nguo kafua,hakupata kurudi kwake mpaka tulivyozingisna miaka kadhaa mbele
Kama unadhani huo msosi limbwata lake ni bongo tu umekosea,haki ya nani aliyeugundua motoni moja kwa moja
Miaka kadhaa ya nyuma katika kutafuta maisha nikajikuta niko nchi moja yenye wazungu wengi,nilizoeana na mama mmoja wa kizungu ,japo alinizidi miaka kama 15,ila ujue wanawake wa kizungu wanachelewa kuzeeka sio kama wanaume wa kizungu.
Kwenye huo mji vyakula maarufu ni,cheese cake,pizza,bugger,hotdog,mutton ribs,portk ribs,chees with chicken,nk.
Ukienda supermarket unakuta mayai,irish potato na sausage za kutosha.
Siku moja nikariungurumisha chipsi zege mixer sausage nikampelekea yule mkekuru wa kizungu kazini kwake,alijiramba vidole
Weekend akaja gheto nikamchakata ,jimatatu asubuhi nikamuachia posho mezeni nikawahi kubeba mabox.
Kurudi namkuta kanunua frying pan,irish potatoes,eggs,sausages na nguo kafua,hakupata kurudi kwake mpaka tulivyozingisna miaka kadhaa mbele