Habari yako Madewa na wana Jf
Mimi sikufanya hiyo interview ila kuna msela wangu ameajiriwa juzijuzi hapo CRDB km IT officer na amefanya interview mwezi wa sept ila sijui tarehe ngapi.
Habari yako Madewa na wana Jf
Mimi sikufanya hiyo interview ila kuna msela wangu ameajiriwa juzijuzi hapo CRDB km IT officer na amefanya interview mwezi wa sept ila sijui tarehe ngapi.
E bwana poa,nashukuru kwa taarifa mkuu,vp unaweza nisaidia kunithibitishia vizuri hizo info,manake kuna dogo wangu alifanya hiyo interview af anatakiwa kwenda chuo,sasa anashindwa kujua kama washawachukuwa ama laa ili alipe fees chuoni wiki ijayo...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.