Aliyefanya hivi ni mzazi?

Aliyefanya hivi ni mzazi?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,991
Reaction score
831,560
1425431602697.jpg
 
inawezekana! kuna mitoto ni mitundu sana
 
Dogo janja kanipigia LEVI'S kitu BLUE mbichi, chini kamaliza na NIKE air
 
Nitafutieni ya mtu mzima nim - hook baba yenu awe anatulia hom wekend
 
Nilifungwa kamba mguuni wakaifunga kitandani kosa ilikuwa ndefu nikawekewa maji na chakula wakafunga mlango wakindelea na shughuli zao, baada ya muda wakafungua na kunikuta juu yakabati bi mkubwa akatoa "mfungueni haraka huyo asituletee kesi"

Duuu naiman64 unamaanisha!?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom