Kwa Mbeya Vijijini CCM wenyewe wanamwelewa vizuri sana Sambwee, ndo maana walitafuta kila njia ya kumzuia wakati ule, na kweli akaonekana amechemsha.
Lakini kwa sasa patakuwa na patashika kubwa sana, maana yule bwana anauzika hadi vijijini, na amefundisha shule kadha kabla ya kwenda chuo kikuu.
Mimi regardless ya mtu atakayewekwa na CCM,namtabiria ushindi!