samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,968
Wanawake wa hivo wako ulaya na marekani huko tena wenyewe unaingia nao mkataba kabisa wa malipo baada ya kukuzalia unachukua mwanao na yeye unampa pesa yake mliyokubaliana,tena yeye hausiki kwa lolote kwa mtoto na hatambuliki kisheria.Natafta mrembo aliye tayari kunizalia mtoto.
Nita toa huduma zote wakati wa ujauzito wake adi malezi na makuzi ya mtoto.
Sifa:1.Awe ni mtumishi wa serikali
2.Awe mkristo
3.Awe na elimu kidato cha 4 na kuendelea
NB:Cpo tayari kuishi na mwanamke