Aliye tayari kunizalia mtoto

Aliye tayari kunizalia mtoto

sura mbaya

Member
Joined
Mar 5, 2013
Posts
86
Reaction score
14
Natafta mrembo aliye tayari kunizalia mtoto.
Nita toa huduma zote wakati wa ujauzito wake adi malezi na makuzi ya mtoto.
Sifa:1.Awe ni mtumishi wa serikali
2.Awe mkristo
3.Awe na elimu kidato cha 4 na kuendelea

NB:Cpo tayari kuishi na mwanamke
 
14725462_1681807422133213_2655214550607929112_n.jpg
huyo ndo mwanangu! mkuu kuwa makini uchaguapo hawa dada zetu
 
Ukiachana na matunzo ya mtoto(ambayo ni lazima/wajibu) una kitu gani kingine ambacho kinaweza kumfanya mwanamke avutike kuzaa na wewe
 
Back
Top Bottom