Aliye na Updates kuhusu JWTZ atujuze

Aliye na Updates kuhusu JWTZ atujuze

acheni kudanganyana!!! jwtz hawaajiri toka mtaani bali toka jkt, tena jkt wapo professional wengi mno tena wapo hadi wenye masters! kama unataka jeshi anza kutafuta nafasi ya jkt! kwa mwaka ujao manake mwaka huu wameshaingia kambini!!!
 
aende tu akitoka hapo afanye usaili tpdf akimalza depo ni m2 mkubwa xana kwa rank za jesh kila la kheir
 
Nachojua mchakato ni mwezi wa 6,taarifa nimepewa na mtu mkubwa sana. So,be ready
 
acheni kudanganyana!!! jwtz hawaajiri toka mtaani bali toka jkt, tena jkt wapo professional wengi mno tena wapo hadi wenye masters! kama unataka jeshi anza kutafuta nafasi ya jkt! kwa mwaka ujao manake mwaka huu wameshaingia kambini!!!

Huyo mwenye masters JKT Ameingia akiwa na umri gani na masters amesoma miezi mingapi......?
 
Achen uongo ninyi vijana amemaliza masterz ana umri wa miaka mingapi mpaka aende jkt
 
Wametoka kuajiri wiki iliyopita kuptia vijana wa kujitolea wale wa jkt intake iliyopita, ambao bado hawajamaliza muda wa miaka miwil n wanavigezo vya kuajiriwa n jeshi la wananchi, kusudu masters, ina kiwango cha umri n tofaut n mtu anaeingia akiwa n darasa la saba au form foutpr
 
Back
Top Bottom