Aliye na Updates kuhusu JWTZ atujuze

Aliye na Updates kuhusu JWTZ atujuze

baraker88

Senior Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
124
Reaction score
147
tafadhali naomba kwa mweyekujua kuhusiana na ajira Jwtz zitatangazwa lini maana nilazma watoe nafasi atakama ni kwakupitia JKT.
 
tusubiri maana hata mimi tangu mwaka jana nimetuma maomb sijajibiwa
 
acheni kudanganyana,wanaoanza mwezi ujao ni JKT,JWTZ wanamaliza mwezi wa nne mafunzo ya awali,sasa huyo anayesema wanaanza next week labda kama anamaanisha jeshi la mgambo kijijini kwao
 
acheni kudanganyana,wanaoanza mwezi ujao ni JKT,JWTZ wanamaliza mwezi wa nne mafunzo ya awali,sasa huyo anayesema wanaanza next week labda kama anamaanisha jeshi la mgambo kijijini kwao

Vp tetesi zilizopo za kuchukua mtaani kwa mwaka huu, najua wengi wanasema mpaka upitie jkt ila tetesi kwa mwaka huu ni direct from kitaa na wengine kutoka jkt
 
mwisho kutuma maombi ilikuwa kama two weeks ago kwa sasa kinachosubiriwa ni usaili tu,dogo wa home anasubiria ntawajuza siku akienda usaili
 
bado mie naona mnaongea bila kuelewa chochote! ukweli ni kwamaba nafasi za kujiunga na jeshi la wananchi wa tanzania bado sana! hazijatangazwa na wala hatujui lini kwasababu tok amwezi wa nane watu wanazungumza uongo tuu! huenda mwaka hu wasichukue mtaani moja kwa moja labda kupitia jkt.
:smile-big:
 
kuanzia trh 10/3 kuripoti makambin na ndo kipind cha uzalendo na trh 18/4 koz inaanza mwenye xwali aulize hapa
 
Kuna mshikaji wangu ana masters anataka aende JKT nimshauri nini?
 
Back
Top Bottom