Mapengo 17
R I P
- Mar 28, 2014
- 1,228
- 618
Wakati nikiwa nimelala pale kitandani nilisikia mlango ukigongwa na sauti iliskika ikiwa inaita kwa chini "huku akiniita jina langu....nifungulie mimi Hamida" nilitoka pale kitandani mbio kuelekea mlangoni nikafungua.
Nikamwambia Hamida unakuja saa hizi (23:45) huoni kwamba unanisababishia matatizo? Je! Baba akiamka unafikiri tutakua kwenye hali gani?
Alichofanya alinisukumia ndani akaniambia njoo tuongelee ndani bhana hapa mtu anaweza kuja ikawa nongwa.
Nikawa bado nashangaa kilichokua kinaendelea mara Hamida akadondosha mtandio aliokua amevaa kwa jinsi alivyokua kaumbika mwenyewe.......
Nikamwambia Hamida unakuja saa hizi (23:45) huoni kwamba unanisababishia matatizo? Je! Baba akiamka unafikiri tutakua kwenye hali gani?
Alichofanya alinisukumia ndani akaniambia njoo tuongelee ndani bhana hapa mtu anaweza kuja ikawa nongwa.
Nikawa bado nashangaa kilichokua kinaendelea mara Hamida akadondosha mtandio aliokua amevaa kwa jinsi alivyokua kaumbika mwenyewe.......