Alisema hawezi kunioa bila mimba, nimebeba hakunioa, nabadili namba ya simu

Beesmom

JF-Expert Member
May 30, 2016
17,202
28,724
Salaamu,

Ni hivi tulipanga kufunga ndoa 2014,but akaweka kigezo lazima tufunge ndoa nikiwa mjamzito coz hawezi kuoa mwanamke bila mtoto au mimba kuonekana eti wengi wanalia ndani ya ndoa kwa kuoa tasa.

I loved him,so nikacount then we did it.After two weeks nikamuinform akaonekana happy mi kupata ujauzito.Ilipofika miezi 2 mambo ndo yakaanza kuwa mambo changes zikaanza,all time yupo busy mara akate simu,mwisho wa siku ndo akanitamkia nitoe mimba kwa sasa hayupo tayari kulea kazi yake jamaa yupo kwenye kitengo cha PSI.

Nikajaribu kubembeleza abadili maamuzi kuniokoa na aibu iliyombele yangu lakini akakataa.Siku moja nikapiga simu akapokea mwanamke kumbe naye kamtia mimba ye miezi 4 mi 2 naye anaambiwa atoe.Mwanamke mwenzangu akanishauri tutoe mi nikapinga lakini mwenzangu aliamua kutoa na sasa ameolewa na bwana mwingine.

Mi kuona tupo wengi nikaamua bora nilee mimba na mtoto sio kidonda.siku zote jamaa kazi yake ilikuwa ni kulizia umetoa,ina miezi mingapi,utajifungua lini,na alipopata taarifa nimejifungua akapiga simu mtoto jinsia gani,sasa naona anazidi iharibu future yangu kwa maswali,mtoto ana miezi mingapi ana miezi mingapi wakati tangu miezi 2 ya mimba siifahamu sura yake wala pesa yake kwa mtoto.Mi Mwalimu wa msingi,nimeamua nitaendelea kumlea mtoto bila msaada wa baba na sitaki tena mawasiliano nae nimebadili namba ya simu.Mtoto ana mwaka 1 now.
 
Salaamu!
Ni hivi tulipanga kufunga ndoa 2014,but akaweka kigezo lazima tufunge ndoa nikiwa mjamzito coz hawez kuoa mwanamke bila mtoto au mimba kuonekana eti wengi wanalia ndan ya ndoa kwa kuoa tasa.
I loved him,so nikacount then we did it.After two weeks nikamwiinform akaonekana happy mi kupata ujauzito.Ilipofika miezi 2 mambo ndo yakaanza kuwa mambo changes zikaanza,all time yupo busy Mara akate simu,mwisho wa siku ndo akanitamkia nitoe mimba kwa sasa hayupo tayari kulea.Kaz yake jamaa yupo kwenye kitengo cha PSI.

Nikajaribu kubembeleza abadili maamuz kuniokoa na aibu iliyombele yangu lakin akakataa.Siku moja nikapiga simu akapokea mwanamke kumbe naye kamtia mimba ye miez 4 mi 2 naye anaambiwa atoe.Mwanamke mwenzangu akanishaur tutoe mi nikapinga lakin mwenzangu aliamua kutoa na sasa ameolewa na bwana mwingine.
Mi kuona tupo wengi nikaamua bora nilee mimba na mtoto sio kidonda.siku zote jamaa kaz yake ilikuwa ni kulizia umetoa,ina miez mingapi,utajifungua lini,na alipopata taarifa nimejifungua akapiga simu mtoto jinsia gan,sasa naona anazidi iharibu future yangu kwa maswali,mtoto ana miez mingapi ana miez mingapi wakati tangu miez 2 ya mimba siifahamu sura yake wala pesa yake kwa mtoto.Mi Mwl msingi,nimeamua nitaendelea kumlea mtoto bila msaada wa baba na sitaki tena mawasiliano nae nimebadili namba ya simu.Mtoto ana mwaka 1 now.
Gud
 
Salaamu!
Ni hivi tulipanga kufunga ndoa 2014,but akaweka kigezo lazima tufunge ndoa nikiwa mjamzito coz hawez kuoa mwanamke bila mtoto au mimba kuonekana eti wengi wanalia ndan ya ndoa kwa kuoa tasa.
I loved him,so nikacount then we did it.After two weeks nikamwiinform akaonekana happy mi kupata ujauzito.Ilipofika miezi 2 mambo ndo yakaanza kuwa mambo changes zikaanza,all time yupo busy Mara akate simu,mwisho wa siku ndo akanitamkia nitoe mimba kwa sasa hayupo tayari kulea.Kaz yake jamaa yupo kwenye kitengo cha PSI.

Nikajaribu kubembeleza abadili maamuz kuniokoa na aibu iliyombele yangu lakin akakataa.Siku moja nikapiga simu akapokea mwanamke kumbe naye kamtia mimba ye miez 4 mi 2 naye anaambiwa atoe.Mwanamke mwenzangu akanishaur tutoe mi nikapinga lakin mwenzangu aliamua kutoa na sasa ameolewa na bwana mwingine.
Mi kuona tupo wengi nikaamua bora nilee mimba na mtoto sio kidonda.siku zote jamaa kaz yake ilikuwa ni kulizia umetoa,ina miez mingapi,utajifungua lini,na alipopata taarifa nimejifungua akapiga simu mtoto jinsia gan,sasa naona anazidi iharibu future yangu kwa maswali,mtoto ana miez mingapi ana miez mingapi wakati tangu miez 2 ya mimba siifahamu sura yake wala pesa yake kwa mtoto.Mi Mwl msingi,nimeamua nitaendelea kumlea mtoto bila msaada wa baba na sitaki tena mawasiliano nae nimebadili namba ya simu.Mtoto ana mwaka 1 now.
Whatever the case kuna wakati mtoto atahitaji kumuona baba yake mzazi kwa sasa it's alright but in future mengi yatajitokeza andaa utaratibu wa hili si lazima iwe sasa au in the near future la hasha ila kuna wakati utakuja get prepared
 
Cwez kukushauri ukae nae mbali, maana mtoto atawaunganisha tu, cha msingi sahau yaliopita , anza maisha mapya wala usimchukie,, bali mchukulie nae n mapungufu yake, naamin ukifanya hivyo utaishi maisha yenye furaha sana,,,,
 
Umechuka uamuzi mzuri Dada, ni bora ukae nae mbali, atakuharibia kwa kwenye nia na wewe.
 
Cwez kukushauri ukae nae mbali, maana mtoto atawaunganisha tu, cha msingi sahau yaliopita , anza maisha mapya wala usimchukie,, bali mchukulie nae n mapungufu yake, naamin ukifanya hivyo utaishi maisha yenye furaha sana,,,,

Asante
 
mimba sio tiketi ya ndoa hivi kwanini mnakuwaga wepesi kudanganyika kijinga hivyo aaargh..

Huyo jamaa sio mtu mzuri atazidi kukuvuruga kama una uwezo lea mwanao, kaa naye mbali.
 
Whatever the case kuna wakati mtoto atahitaji kumuona baba yake mzazi kwa sasa it's alright but in future mengi yatajitokeza andaa utaratibu wa hili si lazima iwe sasa au in the near future la hasha ila kuna wakati utakuja get prepared

Asante kwa ushauri MSH
 
mimba sio tiketi ya ndoa hivi kwanini mnakuwaga wepesi kudanganyika kijinga hivyo aaargh..

Huyo jamaa sio mtu mzuri atazidi kukuvuruga kama una uwezo lea mwanao, kaa naye mbali.

serious nilikosea,asante kwa ushauri mkuu
 
Back
Top Bottom