DAFU NA NDIMU JF-Expert Member Aug 20, 2016 3,497 5,088 Jan 3, 2017 #21 Acha kulia. Tema mate tumchape!
J jaija a khun Senior Member Apr 12, 2015 119 51 Jan 3, 2017 #22 dont trust any 1 said: Cjui kwanini namugopa mwanamke mwenye kazi jamani Click to expand... Mimi sina kazi na cjaolewa mkuu
dont trust any 1 said: Cjui kwanini namugopa mwanamke mwenye kazi jamani Click to expand... Mimi sina kazi na cjaolewa mkuu
C Chief wa kibena JF-Expert Member Mar 13, 2016 686 394 Jan 3, 2017 #23 kapata kazi lini?? mbna Ajira magu hajafungua?
Ncherry1 JF-Expert Member Jun 15, 2016 2,181 2,246 Jan 3, 2017 #25 Kosa hela ujue tabia ya mkeo ndo hapo....
MarkHilary JF-Expert Member Feb 8, 2015 1,763 2,029 Jan 3, 2017 #26 Piga chini haraka sana...usisubiri Mungu ashuke mwenyewe kukutafsiria maana ya hizo ishara!
chavdy Senior Member Feb 29, 2016 181 120 Jan 3, 2017 #27 Huyo anahisi pesa kwake ndio kila kitu so hana mda wa kubembeleza tena na anakupotezea au huenda kuna mtu mwingine anajaribu kuchukua nafasi yako. Chunguza kabla ya kufanya maamuzi
Huyo anahisi pesa kwake ndio kila kitu so hana mda wa kubembeleza tena na anakupotezea au huenda kuna mtu mwingine anajaribu kuchukua nafasi yako. Chunguza kabla ya kufanya maamuzi
silasc JF-Expert Member Feb 10, 2013 3,348 1,982 Jan 3, 2017 #28 Pole sana. Komaa kutafuta pesa mkuu.