Alinizungusha kumbe ana UKIMWI

Alinizungusha kumbe ana UKIMWI

Rais2020

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
3,248
Reaction score
5,537
Habari zenu wana MMU,
Leo nimeona niwaletee kisa ambacho kilinikuta miaka michache HUKO nyuma.
Nikiwa chuo mwaka wa Pili katika pita pita zangu za mitaani nilikutana na binti mrembo mwenye asili ya kinyarwanda aliyekuwa anasoma chuo cha jirani ya chuo nilichokuwa nasoma mimi.
Bila kuchelewesha muda kama ilivo kawaida kwa wanaume lijali nilimtongoza yule Dada na ilimchukua kama miezi miwili kunikubalia kwa sharti la kutumia kondom mpaka pale tutakapofunga ndoa. Nilifurahia na nikasema isiwe tabu. Mchezo ukaendelea ambapo siku Moja nilimwita aje gethoni nilipokuwa naishi,alipofika alipika chakula tukala tayari kwa kugegedana. Yule Dada nilipomwambia swala la kugegedana aliishiwa amani na furaha japo aliniuliza kama kuna kondomu. Kwa kuwa nilikuwa nimebakiza piece Tatu za kondomu nikasema zinatosha.

Wakati nikiwa namuandaa gafla alianza kulia kwa huruma bila sababu ya msingi na nilipomuuliza akasema ananipenda hivo hataki niteseke ndo maana alilia kwa uchungu. Nilijawa na maswali mengi sana. Ilibidi nimwache aende zake ili aje siku nyingine maana siku hiyo alikuwa MTU mwenye huzuni na mwenye kutokwa na machozi muda wote.

Zilipita siku mbili,binti mrembo wa kinyarwanda alirudi tena baada ya kumbembeleza aje ili nimgegede. Hakika alikuja na siku hiyo sikutaka swaga zake,nilianza kumuandaa na akanivalisha kondomu,. Kwa kuwa nilikuwa na ugwadu wa kutosha nilimgegeda kwa kutumia nguvu nyingi sana hata pale alipokuwa analia nilikuwa namsukumizia tu dude tena kwa nguvu za kutosha. Bao la kwanza lilikamilika na akanitoa kondomu kwa pole za kutosha(pole my husband kwa kazi nzito,alisema). Mgegedo ulikuwa mzuri sana kiukweli.

Niliamua kupumuzika kama dk 10 hivi nikiwa najazia nguvu zingine Mara haaa! Dude likajaa hasira,nikamuweka kikaangani tena yule mrembo.

Baada ya siku kama 14 hivi nilimwambia tena aje,Mara hii alikuja kulala gethoni kwangu ili nimpasue barabara. Kiukweli dude lilikuwa limechangamka na lenye nguvu sana kiasi kwamba mrembo alidata na dude. Basi nilimkandamiza mpaka kondimu ilipasuka. Alipogundua kondomu imepasuka alilia sana usku kucha. Asubuhi alisema akaoge. Akaenda kuoga na wakati akiwa bafuni akilini mwangu iliniijia issue ya kukagua mkoba wake. Dah! Mungu ni mwema nilikutana na kopo Moja la dawa ambalo niligundua ni ARV na alikuwa na vidonge vingine vya Septrin. Basi niliingiwa na hofu sana. Nikamsubiri atoke bafuni ili nimuulize. Akasema ameathirika ndo maana hakutaka nisex nae bila kondomu. Dah! Niliishiwa nguvu zote na hapo hapo majira ya SAA NNE asubuhi nilimfukuza licha ya kulia sana na kuniomba msamaha.
mapema muda huo huo nikaenda dispensary ya karibu kumwelezeaxhali halisi na akanipima ambapo Dr niliyemkuta alinipa dawa za mwezi mmoja ambazo ni TLE. Dah! Ilikuwa shida sana kuzimeza maana zilikuwa kubwa mno.
Baada ya siku 30 nilipima nikakutwa Niko safi.

Toka pale niliacha kudandia warembo hovyo hovyo. Na kondomu niliendelea kuzitumia sana.
(Nimesukumwa kuandika kisa hiki baada ya jumatatu ya week hii kumkuta akiwa hoi bin Taabani kwa ugonjwa wa fungus wa ubongo).

Funzo: Wadada wanahuruma sana. Hawataki kueneza VVU kwa makusudi. Usimwamini mtu kwa macho.

UKIMWI UPO NA UNAUA.
(Nimehariri nilipokosea mpangilio wa matukio-Sorry).
 
kama ulichofanya ulichofanya ulihisi ni kizuri basi wewe ni tatizo
ukimpata mpenzi mpya ni bora ukamlazimisha kupima sio kumlazimisha kumgegeda
 
Huyo mrembo alikuwa anakupenda sana mkuu.

Nilikuwa naomba wanawake na wanaume wote waige mfano huoo na si kuendelea kueneza kwa makusudi ili hali wanajijua wameukwaa.
 
Wabongo bwana...

Kuna mshikaji anaitwa GISAMBO jana alileta uzi hapa anaulizia "hivi ni vidonge gani" na akavipiga picha...
Kwamba amevikuta kwenye mkoba wa demu wake...

Wewe raisi2020 ulikua na hamasa sana kutaka kujua story yake.... Naona ukalala umeamka tu umekuja na story hii...

Anyway :
Kifupi ni kuwa umetumia story ya mshikaji kutengeneza story yako...
 
Wabongo bwana...

Kuna mshikaji jana alileta uzi hapa anaulizia "hivi ni vidonge gani" na akavipiga picha...
Kwamba amevikuta kwenye mkoba wa demu wake...

Wewe raisi2020 ulikua na hamasa sana kutaka kujua story yake....

Anyway :
Kifupi ni kuwa umetumia story ya mshikaji kutengeneza story yako...
Mkuu labda tu niseme wazi kuwa mimi huwa sina mazoea ya kuleta nyuzi kwenye jukwaa hili la MMU ila uzi wa Jana ulinifanya nikumbuke story ya huyo mrembo. Labda kukuweka sawa ni kwamba mimi nilikuwa na hamu ya kujua kilichomtokea ili nimpe ushauri na namna ya kufanya. I did so because it's my carrier. Sawa mkuu.

Kuna jamaa na rafiki yangu sana nitaweka uzi kuelezea jinsi anavoeneza ukimwi kwa makusudi. Lengo watu wajifunze. Huwa sijui kutunga story mkuu
 
Wabongo bwana...

Kuna mshikaji jana alileta uzi hapa anaulizia "hivi ni vidonge gani" na akavipiga picha...
Kwamba amevikuta kwenye mkoba wa demu wake...

Wewe raisi2020 ulikua na hamasa sana kutaka kujua story yake....

Anyway :
Kifupi ni kuwa umetumia story ya mshikaji kutengeneza story yako...
ni kweli kabisa ule uzi mm sikuchangia chochote lakini nilisoma comments zote
Umenikumbusha jamaa yangu mmoja anaitwa ima huyo jamaa leo unampa story fulani kesho yake na yeye anakupa story kama ile uliyomuadithia jana yani anabadilisha majina tu ya wahusika, ndio huyu jamaa sasa
 
Kama kweli ulifanya nae na alikuwa muathirika na kama kweli condom ilipasuka basi wewe ni muathirika kapime tena...maana hivyo vidonge havitolewi na havigaiwi kwa njia hii uliyoisema na havipatikani kwa namna hiyo...

Kama story hii ni ya kweli basi wewe umeathirika, kinyume na hapo story umetunga.
 
Kama kweli ulifanya nae na alikuwa muathirika na kama kweli condom ilipasuka basi wewe ni muathirika kapime tena...maana hivyo vidonge havitolewi na havigaiwi kwa njia hii uliyoisema na havipatikani kwa namna hiyo...

Kama story hii ni ya kweli basi wewe umeathirika, kinyume na hapo story umetunga.
Pole sana mkuu. Nilipewa kama PEP.
 
Mkuu kama ungekuwa wewe ungefanyaje? Alinichanganya sana. Maana alitakiwa kuniambia toka mwanzo kuwa ni HIV+
Mbona alikuwa mstaarabu kukukatalia ulivyoinsist amakuomba mtumie mpira...

Je angekuruhusu umgegede kavu?
 
ni kweli kabisa ule uzi mm sikuchangia chochote lakini nilisoma comments zote
Umenikumbusha jamaa yangu mmoja anaitwa ima huyo jamaa leo unampa story fulani kesho yake na yeye anakupa story kama ile uliyomuadithia jana yani anabadilisha majina tu ya wahusika, ndio huyu jamaa sasa
Mkuu sema mimi huwa siyo mpenzi sana wa kuandika nyuzi jukwaa la MMU . Nina story nyingi sana za waathirika wa ukimwi ambazo siyo za kutunga. Kuna zingine nahadithiwa na clients napokuwa namuhudumia. Sema jamaa wa Jana kanifanya niikumbuke vema sana story hiyo na ukizingatia dada Huyo kwa sasa ni mgonjwa sana
 
364de6c6c430e4a70c108ac2fc1032ae.jpg
12dda41c756853408181df42b3f0f210.jpg
ce83a5565df99a9e0e2129e0f43a3f45.jpg
e4085fa43848bccf5539be74e638dd18.jpg
8bf774a1602e510126cd1071f657863b.jpg
75ec25f8a53550910c34babe6ba4b03b.jpg
Kumbe kumkomalia kote jamaa asimulie ili na ww utunge story yako?
 
Mwanamke mpaka anakuja gheto kwako huyo keshakubali mgegedo kwa 80% tayari, mi mwanamke akigoma kuvua pichu tena ndani ta himaya yangu zaidi ya mara moja huwa nampotezea nikijifariji naepushwa na majanga kama hayo
 
Kweli wadada wana huruma sana,yuko ambae tulipendana sana. Ila yeye aliniambia mapema kuwa ameathirika na alibakwa akiwa kidato cha pili,hapo ndipo alipopatia huo ugonjwa.
Kwa tahadhari sikumgonga japo aliniambia kama nitataka inabidi tutumie ndom.
Sasa hivi ni mwalimu wa shule flani na anapenda watoto sana ila ndio hivyo yeye hana wa kwake.
 
364de6c6c430e4a70c108ac2fc1032ae.jpg
12dda41c756853408181df42b3f0f210.jpg
ce83a5565df99a9e0e2129e0f43a3f45.jpg
e4085fa43848bccf5539be74e638dd18.jpg
8bf774a1602e510126cd1071f657863b.jpg
75ec25f8a53550910c34babe6ba4b03b.jpg
Kumbe kumkomalia kote jamaa asimulie ili na ww utunge story yako?
Kwa sasa MTU anaweza kudhani ni copy and paste. Ila matukio ya kweli yenye ufanano wa karibu sana. Ndiyo maana huwa spendi kuweka threads kwenye jukwaa la MMU maana watu wa huku wamezoea story za kutunga ila zenye ukweli huziweka kama porojo
 
Back
Top Bottom