ALINIRUHUSU KUINGIZA KICHWA TU!!

nzalendo

Platinum Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,940
Reaction score
14,754
Ni baada ya kumuomba sana na kumbembeleza.

Yeye akasema amechoka hawezi kuamka.

Lakini sikukata tamaa...nikazidi kupanga maneno ili anielewe,

Bila kufanya hivyo nisingeweza kupata usingizi.

Hatimaye akasema siku nyingine nisirudie tena huo mchezo wa kumuamsha manake alikwisha lala na ni usiku mkubwa.

Basi akanifungulia geti nikaingiza kichwa cha VOLVO VNL 680...manake kukilaza nje ni hatari kilikuwa kipyaa...
 
 
Sahihi.Kichwa kingeumwa na mbu.
 
Kuwa platnum ina vigezo gani, unalipia au ni ubobevu tu na muda mrefu wa kujoin Mr Volvo?
Shehee mie nimo humu kabla ya ID hii ya nzalendo...toka jf ikiitwa JAMBO FORUMS.....lakini usinifuatilie saana manake mie mpuuzi flani hivi...,,,,kwangu hapa ni kijiwe cha kutoa stress tu......
 
Alikufungulia mlango gani😎
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…