marko maluli
Senior Member
- Mar 14, 2015
- 164
- 49
Nilikuwa katika mahusiano na msichana wa kidato cha kwanza hapo mimi nilikuwa kidato cha pili katika shule hihyo but alinipenda sana na mahusiano yetu yalijulikana shule nzima lakini nimewahi kumfanyia mambo mengi ambayo sio mazuri lakini alivumilia.
Nilipo fika kidato cha nne ilitokea zali moja kubwa sana nilimpa ujauzito na akaachishwa shule, huku mimi nilikuwa bado naendelea na masomo ilipo fika wakati wa kujifungua binti huyo mimi ndio nilikuwa naingia
kwenye chumba cha mtihani but alijifungua salama lakini kwa bahati mbaya mtoto ulimkuta umauti.
Nilifanikiwa kumaliza mitihani yangu na kujiunga chuo huku yeye bado nawasiliana nae lakini kumbe alikuwa na jamaa mwingine baada ya mimi kurudi chuo niliona mabadiliko na alikuwa anaujauzito tumboni, alizaa tena mtoto akafa na huyo mwanaume mwingine.
Niliamua kumuambia ukweli kwamba aendelee na jamaa yake kwani sipendi ugomvi kati yangu na huyo mwanaume cha kushangaza hivi juzi kanitafuta na namba ngeni na kuniambia mimi ni mpenzi wake lakini ataendelea kuwa na yule jamaa wake lakini mimi nilikataa.
Naombeni ushauri
Nilipo fika kidato cha nne ilitokea zali moja kubwa sana nilimpa ujauzito na akaachishwa shule, huku mimi nilikuwa bado naendelea na masomo ilipo fika wakati wa kujifungua binti huyo mimi ndio nilikuwa naingia
kwenye chumba cha mtihani but alijifungua salama lakini kwa bahati mbaya mtoto ulimkuta umauti.
Nilifanikiwa kumaliza mitihani yangu na kujiunga chuo huku yeye bado nawasiliana nae lakini kumbe alikuwa na jamaa mwingine baada ya mimi kurudi chuo niliona mabadiliko na alikuwa anaujauzito tumboni, alizaa tena mtoto akafa na huyo mwanaume mwingine.
Niliamua kumuambia ukweli kwamba aendelee na jamaa yake kwani sipendi ugomvi kati yangu na huyo mwanaume cha kushangaza hivi juzi kanitafuta na namba ngeni na kuniambia mimi ni mpenzi wake lakini ataendelea kuwa na yule jamaa wake lakini mimi nilikataa.
Naombeni ushauri