The Orginals
Member
- May 4, 2015
- 88
- 21
mpige chini huyo hata ukiugua ukawa huwez kufanya lolote atakuacha kitandani unakufa sio mtu mzuri shukuru mungu ulikua mzima wa.afya
Kweli kabisa mkuu,..Hawa watu huwa wanatia huruma sana wakati wa kuomba msamaha,..lakini hawana maana.
kwa maelezo yako nimemjua unamuongelea ni dada yangu hivi sasa hata wazazi nao wanajisikia aibu na ndio washauri wakuu ni wazazi haohao binafsi nilikuwa nakuonea huruma sana lkn sikuwa najinsi kama unajua siku nilokuja kwako nilimsema alinifukuza nakwakuwa anajeuri sijapata kuja tena kwako tangia hapo sisemeshani nae,ila anaumia na anajuta ,mwisho nakushauri najua waweza kumuonea huruma kwakuwa ni mkeo nikikumbuka mlivyokuwa mnapendana ,lkn nina hakika huwezi mpenda tena hata kama ajitahidi akurudishe kwa mateso yale sizani kama utampenda tena,yule kwa sasa itabaki stori kwake, mwisho kwa wote mliocoment hapa,sio wote wanawake wana roho mbaya trust me,YA MUNGU MENGI,zaidi naomba jipe muda sema na moyo wako shemu utakachoamua mm sitakupinga zaidi nitakuwa upande wako sana tu mpaka utakapotoweka hapa duniani au mm nitakapotoweka,salamu kwa hao vijana wangu hapo nyumbani nwako J
Point mkuu, hakuna kama mama.
Zimwi likujualo... Ok yaweza kuwa applied kwa ndugu yetu. Lakini unamrudia huyo 'mkeo' halafu baba na mama yako hawataki kusikia habari zake? Starehe iko wapi?
Please hebu nisaidie hiyo ref ya maandiko matakatifu nitaitoa wapi? Nimeipenda
sisemi mengi bibi....naisi kulia kila nikitaka type .....elewa tu kuwa ndani ya wanawake wenyewe kuna tatizo....!!
Uzuri wa sisi wa mama huwa tunaangalia watoto wetu bila kujali madhara yatakayowapata wajukuu wetu yaani unamfikiria mwanao aachane na huyu aoe mwingine bila kukaa chini na kufikiria wajukuu zako watalelewa vipi na mke na yeye anafikiria watoto wake bila kumfikiria mme au mtu mwingine yoyote ikifika hapo huwa nasema nani kama mama maana yeye ni mtt wake tu ndio anawaza hata hao wajukuu akipewa awalee hata walea kama mama mzazi wa hao wajukuu.
Biblia inasema waheshimu baba na mama yako upate miaka mingi hapa duniani!
Pole saana
First details za kampuni yako mpya usingeweka
huwezi jua nani anapita humu ...ukabadilishwak kitengo ukarudi yule yule
Pili kuhusu mkeo.....wewe ndo utaamua nini ukifanye hata ukimsamehe hakuna tatizo
wanawake sometimes wana taka mume uwe kama baba yake
umsamehe kila siku.....
Mwisho ni lazima sasa ujifunze makosa yako
mume sio kutoa mahitaji tu..unapaswa kujifunza bonding....
bonding na mkeo ilikuwa ndogo........hata ukioa mwingine yaweza tokea haya haya...
halafu waswahili wanasema 'bora kukosea kujenga nyumba kuliko kukosea kuoa'
mpige chini huyo hata ukiugua ukawa huwez kufanya lolote atakuacha kitandani unakufa sio mtu mzuri shukuru mungu ulikua mzima wa.afya