Kama alikuwa ana upendo na wewe angekukubali awali hata kama alikuwa na MTU angemwacha aje kwako. Huko mambo magumu anakuja kwako. Nikwambie haukuwa hata plan D kwake. Achana naye kabisa. Sijui ni kwa nini unapoteza nguvu kuuliza hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.