Nimsaidie kwa lipi?Msaidie mwenzio, kufikisha 30years bila mupenzi ni mtihani wa la nne.
Kapigwa chini ndiyo maana anajiletaSasa mimi sielewi kilichomkuta huku wakati alisema anampenda na ndiye wake
Mkuu ktk maisha yako usije kukubali kurudiana na mpenzi aliyekukataaNafasi siwezi mpa, najua huyo atakuwa ndumilakuwili,
Nashukuru mkuu, ushauri wako nimeuzingatia kwa 100%Mkuu usije kujaribu ujinga wa kurudiana na mtu. Tafuta mwanamke mwingine uoe. Miaka 4 imepita halafu bado unaamini anakupenda?
Huyo hakupendi ila kinacho mrudisha hana mtu. Wote waliomdanganya wameshamkimbia, kwahiyo ana ona ww ni dhaifu sana ndiyo maana amerudi.
Siku akimpata anayempenda na yupo tayari kuolewa lazima akupige chini.
Usikubali ndugu
Nashukuru mkuu kwa ushauri wako mzuri, hope nitauzingatia. Huyo ni wa kumwogopa kama ugonjwa wa ukoma!Mkuu ktk maisha yako usije kukubali kurudiana na mpenzi aliyekukataa
Utakuja juta.
Jamaa limesepa, ndiyo maana anakutafuta. Km jamaa lingekuwepo angekutafuta?
Miaka 4 mingi sana. Huyo kakosa pa kushika. Ikibid mblock kabsa
Tena, si nitakuwa nimempa second chanceMgegede uachane nae...
Ha ha ha ha!Kapigwa chini ndiyo maana anajileta
Sasa kama huwezi kumpa nafasi hapa unaomba ushauri wa nn?Nafasi siwezi mpa, najua huyo atakuwa ndumilakuwili,
Mbona unakuwa mkali? May be unaweza ukawa ni wewe!Sasa kama huwezi kumpa nafasi hapa unaomba ushauri wa nn?
MkuuMbona unakuwa mkali? May be unaweza ukawa ni wewe!
Labda sasa una Vijisent mkuuWakuu wana forum hii,
Habarini za leo,
Kuna msichana mmoja nilimpenda sana na ni muda mrefu nilikuwa nikimfuatillia ili tuwe wapenzi na hatimaye tuoane ili tujenge familia lakini cha ajabu aliniambia kuwa yeye ana mpenzi na kamwe hawezi kumwacha kwa sababu ndiye atakayemuoa na anampenda sana. Nikaona isiwe shida nami nikawa nimekata tamaa.
Sasa ni miaka minne imepita, naona anaanza kunifuatilia na kujaribu kuwa karibu nami, ingawa mpaka sasa bado sijaoa.
Naombeni ushauri juu ya huyu binti!
Ha ha ha ha umenifurahisha!Labda sasa una Vijisent mkuu
Kwanza huyu, haitakiwi kumpa hata muda wa mazungumzo naye, ni habari, salama kwa heri!Anataka kuja kupumzika baada ya mambo kumuendea kombo huko alikosema hawezi kutoka. Hali ikiwa shwari atakutia kidonda kabisa akisharudi kwa bwana wake, mwanzoni alikuumiza kidogo tu.
Naona akipewa ushauri anajishaua hawezi kumpa nafasi,oooh hawez kuwa naye mara cjui vitu. Kama una majibu yote why are you coming here eti unaomba ushauriMbona unakuwa mkali? May be unaweza ukawa ni wewe!
Kuna mambo mawiliWakuu wana forum hii,
Habarini za leo,
Kuna msichana mmoja nilimpenda sana na ni muda mrefu nilikuwa nikimfuatillia ili tuwe wapenzi na hatimaye tuoane ili tujenge familia lakini cha ajabu aliniambia kuwa yeye ana mpenzi na kamwe hawezi kumwacha kwa sababu ndiye atakayemuoa na anampenda sana. Nikaona isiwe shida nami nikawa nimekata tamaa.
Sasa ni miaka minne imepita, naona anaanza kunifuatilia na kujaribu kuwa karibu nami, ingawa mpaka sasa bado sijaoa.
Naombeni ushauri juu ya huyu binti!