my 8 years spouse recently told me nichague mawili after never ending conflicts between us, tuachane au niendeleee kuishi naye lakini nikijua hanipendi...siyo kirahisi kama ambavyo unasoma hapa ilikuwa ni mtihani mgumu na kipindi cha majonzi sana, nilijuta na najuta kuwa na spouse wa aina hii na ndiyo tayari tulisema mbele za Mungu na binadamu ''till death do us apart''. unajua nini baada ya kufikiria sana, hasa watoto wangu na aibu ya karne nitakayoipata nikakubali kuendelea kuishi naye nikijua hanipendi.nikamwambia. alipigwa na butwaa hakujibu kitu siku hiyo baada ya siku akarespond akaniuliza je ni kweli nimeamua?nikamkubalia.akasema tuendelee, lakini u can imagine.. kama alivyosema hakuna mapenzi, no honey,sweet, baby things, no romance, no kubembelezwa wala kuchukuliwa kitofauti and everything is well, we laugh, twapiga story za maisha na watoto na siku zinaenda. ni ngumu lakini bado najiuliza nitasurvive? na huyu mtu ni kuwa ananiweka kwenye mazingira ya kutafuta upendo kwingine, yaani kama bomu flani hivi..nimekuwa nikipata vishawishi vya upendo/mapenzi ya nje,na ukweli ninauhitaji sana sana huo upendo, lakini nakumbuka kuhusu Mungu na mimi ni fan wake basi siyapi hata sekunde ya kuyaentertain,nafikiria ukimwi na ambavyo nitawaacha watoto wangu alone walelewe na na nani sijui naona nivumilie. kwahiyo naendelea mbele sijui nitaishia wapi lakini najua nitapata mapenzi siku moja.