aliniambia nichague mawili

aliniambia nichague mawili

kwa style hii na mie eti kesho nikachague wedding dress shoppers plaza,bado nipo nipo sana.POLE KWA YANAYOKUSIBU NA PIA NAKUPONGEZA KWA KUJIHESHIMU(KAMA MKE WA MTU NA PIA MAMA WA WATOTO KADHAA) PILI MWOMBE MUNGU AMBADILISHE MUMEO YAWEZEKANA PEPO LINAMSUMBUA,KUNA KIDUDU MTU KIMEMCHENGUA AU NI MSONGO WA MAWAZO NDO UMEPELEKEA AWE HIVYO BAADAE ATABADILIKA, MPE MUDA NDO UTAJUA MBIVU NA MBICHI KWANI SI KAWAIDA MTU FROM NOWHERE ATAMKE HIVYO KWA MTU ALIYEMPENDA HADI KUSIMAMA NAYE MADHABAHUNI

Asnam. Twende tukachagua mwenzangu tufunge pingu za maisha usife kabla hujatoa nuksi kama wadada wengine. Asikudanganye mtu kuolewa dili. Si umesoma mwenzio anavoogopa aibu ya karne.
Pole sana bi mdada mleta mada, God will change him, believe in him and let him reign.
 
Kuna watu na viatu, hakyi ya mungu unauma ukiwa na roho nyepesi unaweza choma mtu kisu
 
Mtu keshakwambia hakupendi tena unajiuliza uliza? Aliacha kukupenda alipokutana na jamaa ambaye kimsingi kakupiga gap kwenye ishu nyingi. Tena shukuru mungu alikuambia. Hata mi huwa nafikiria inabore sana kuishi na mtu/demu mmoja kwa maisha yote yaliyobaki!!!! Ukipata atakayeonyesha anakupenda sana kapimeni endelea na maisha!! Kwamba wewe bado unampenda kumbuka kuwa kwake haihusu. Unamboa tu!!!
 
Pole xana dadangu nachoweza kukushauli nikwa hakuna binadam asiyependa upendo ktk maisha hivo bas endelea kumuonesha upendo huku ukimuomba mungu atabadlika.
 
Asnam. Twende tukachagua mwenzangu tufunge pingu za maisha usife kabla hujatoa nuksi kama wadada wengine. Asikudanganye mtu kuolewa dili. Si umesoma mwenzio anavoogopa aibu ya karne.
Pole sana bi mdada mleta mada, God will change him, believe in him and let him reign.

hizo pingu naziogopa kama ni nuksi mi nyota yangu inang'aa ikizima ntakutafuta.
 
hizo pingu naziogopa kama ni nuksi mi nyota yangu inang'aa ikizima ntakutafuta.

Mmmm, imeshaanza kufifia, anza tu kunitafuta usije ukaja hapa na thread ya kutulaumu wakaka humo, mara oh ni maselfish, hatuwapendi, tunawagegeda sana. Sisi tufanyeje sasa!
 
Mmmm, imeshaanza kufifia, anza tu kunitafuta usije ukaja hapa na thread ya kutulaumu wakaka humo, mara oh ni maselfish, hatuwapendi, tunawagegeda sana. Sisi tufanyeje sasa!

utaniona hapa nalalamika kuhusu mengineyo,lakini kuwalaumu uselfish kisa sijapata wa kuniwowa:mmph: never ever hayo ni majaaliwa ya muumba.
 
Usi-expect so much katika maisha yako. Kuna watu wanalilia kupata Boyfriend, kuna wengine wanalilia kutamkiwa
uchumba, kuna wengine wanataka waambiwe ndoa kesho, Kuna wengine wanataka angalau mume apate uwezo wa kuleta chakula mezani, kuna wengine wanataka Waume zao wafufuke leo hata kama kuna wakati waliumizwa.

Matatizo ni changamoto za maisha, ukipata hiki unakosa kile. Maadam haku-abuse kwa kipigo au kutishia maisha
yako wewe ishi kwa furaha kama huna mpenzi lakini una mwenzi wa kusaidiana kulea Watoto, pengine ipo siku
utashangaa mambo yanabadilika. Siku hizi utazinguka kwa wangapi...............![/QUOTE

Wow thats very true bro!!I admire you have said.
 
Usi-expect so much katika maisha yako. Kuna watu wanalilia kupata Boyfriend, kuna wengine wanalilia kutamkiwa
uchumba, kuna wengine wanataka waambiwe ndoa kesho, Kuna wengine wanataka angalau mume apate uwezo wa kuleta chakula mezani, kuna wengine wanataka Waume zao wafufuke leo hata kama kuna wakati waliumizwa.

Matatizo ni changamoto za maisha, ukipata hiki unakosa kile. Maadam haku-abuse kwa kipigo au kutishia maisha
yako wewe ishi kwa furaha kama huna mpenzi lakini una mwenzi wa kusaidiana kulea Watoto, pengine ipo siku
utashangaa mambo yanabadilika. Siku hizi utazinguka kwa wangapi...............![/QUOTE

Wow thats very true bro!!I admire what you have said.
 
utaniona hapa nalalamika kuhusu mengineyo,lakini kuwalaumu uselfish kisa sijapata wa kuniwowa:mmph: never ever hayo ni majaaliwa ya muumba.

Mwambie Platozoom yupo kwa ajili yako,akutue
 
chanzo cha tatizo is anachukia ndoa na anamuonea huruma kila anayefunga ndoa.tatizo lilianza wiki tatu before marriage, milimkasirisha akaniambia isingekuwa tuko katikati ya maandalizi angehairisha hii ndoa.hakukuwa na shinikizo lolote,hana mwanamke mwingine yeyote wala hamna fununu, he is clean,anawapenda sana watoto,sana, a good father.his family members knows but hatujawahi kukaa kikao, hawezi kwenda he is so proud,walisema tuvumilie ndoa uvumilivu na inaichukia hiyo sentence.yes kipo kingine nahitaji mtoto wa tatu tu,na pia siwezi kuwa na mwanaume mwingine, sijui naonaje hivi, its hard thats why inabidi niendelee tu hapa.yes upendo wa nje hata siwezi siufikirii kabisa, ninaheshimika sana kwa watu siwezi kujitoa ufahamu hivyo.siwezi kabisa ni hatari sana.why nijifiche while now naexercise freely hadi wazee home kwetu wanajua na hawaji kunichuk

Joda unajua nime-notice kitu, sisi Wanaume tumetofautiana lakini kuna jambo moja lipo; Kuna baadhi ya makosa
yanatufanya tusisahau tuliyofanyiwa (hasa na mwanamke) hata kama tumesamehe nafikiri pengine yupo kwenye hiyo situation, na kadri mlivyokuwa mnakorofishana ndivyo ile picha inakuja. Na kibaya zaidi (Watu wa saikolojia wanaweza elezea hili) Unapozidi kuwa karibu yake ni kama unazidi kumsukumia mbali kama ambavyo ukimkuta mtoto analia kwa kujikwaa ukimbembeleza ndivyo anavyoongeza kilio.

Hilo la kusema hakupenda ndoa nafikiri ni nyongeza tu ya lile ulilolifanya, kuna Watu ni sensitive kwa mambo fulani
unaweza kushangaa.

By the way umri bado unamruhusu ndiyo maana anasema hivyo, kadri utakavyoyoyoma ndivyo atakavyoona
umuhimu wa kuwa na Mke, na wakati huo zile mbwembwe za ujana zitakuwa zimekata. Mpe muda na usishughulike
naye kwa sasa.
 
heee mbona kazi jamani kwani kosa lipo wapi maana thred yako hujata tatizo ni nini?
 
chanzo cha tatizo is anachukia ndoa na anamuonea huruma kila anayefunga ndoa.tatizo lilianza wiki tatu before marriage, milimkasirisha akaniambia isingekuwa tuko katikati ya maandalizi angehairisha hii ndoa.hakukuwa na shinikizo lolote,hana mwanamke mwingine yeyote wala hamna fununu, he is clean,anawapenda sana watoto,sana, a good father.his family members knows but hatujawahi kukaa kikao, hawezi kwenda he is so proud,walisema tuvumilie ndoa uvumilivu na inaichukia hiyo sentence.yes kipo kingine nahitaji mtoto wa tatu tu,na pia siwezi kuwa na mwanaume mwingine, sijui naonaje hivi, its hard thats why inabidi niendelee tu hapa.yes upendo wa nje hata siwezi siufikirii kabisa, ninaheshimika sana kwa watu siwezi kujitoa ufahamu hivyo.siwezi kabisa ni hatari sana.why nijifiche while now naexercise freely hadi wazee home kwetu wanajua na hawaji kunichuk

Ok sasa nimekuelewa kwa sehemu, kumbe chanzo cha tatizo ni wewe mwenyewe, ingawa haujasema exactly ulimkasirisha kivipi! Ila ninachoweza kukushauri kwa sasa, maana inaonekana wazi kuwa uko tayari kuvumilia, basi endelea kuvumilia na kuonyesha kujutia kwa kosa ulilolifanya. Jitahidi kujua vitu gani mumeo anavipenda na capitalize katika hivyo.

Endelea kumjali, kumpenda na kumheshimu huku ukimuomba Mungu mguse ili moyo wake wa upendo ugeuke tena na kurudi kuwa wa zamani. Kwa sasa unachotakiwa kukifanya ni kujua wazi kuwa unaingia kwenye zoezi la kutenda na kuishi maisha yanayoweza kumshawishi mwenzio abadili mawazo, nothing more!

Nakutakia kila la kheri,

HP
 
Daa sina cha kusema. Mungu akutie nguvu mami.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Jamani dunia ina mengi. Pole dear manake hata sijui cha kusema zaidi. Mungu akusaidie tu ndugu yangu
 
Katika jambo ambalo huwa nawakubali wazungu basi ni hapa kwenye masuala ya ndoa, wakati wa kufunga ndoa huwa hawaambiani hadi kifo kikutenganishe au huyu ndo wa kufa na kuzikana na hapo ndo tulipokosea siye waswahili na hizi dini zetu za kuiga. Na hizi jamii ndo zinatuponza, ukioa ni kama jamii ndo imeoa wakati mateso unayapata peke yako. Yakikushinda achia ndoa maana hata ukifa wanao watalelewa na hao unaowahofia. Kuanza upya siyo ujinga.
 
Back
Top Bottom