Wakuu kwema
Kuna mkasa naomba ni share na nyinyi hapa ulinitokea last year. Nilipitia kipindi cha sonona ila badae nilikuja kukaa sawa na sasa hivi life goes on ila siwezi sahau.
Ilikua hivi mwishoni wa mwaka 2020 nilianzisha mahusiano na dada mmoja alikua ni single mama tukaendelea mwaka jana kwenye mwezi wa 7 akanimbia ana mimba hii ilikua ni furaha sana kwangu basi kwakua nilikua namuamini nikaanza kulea mimba bado ikiwa changa kabisa basi bana .
Nikawa naongeza matunzo nikafungua mpka account ya benki kwa ajili ya mtoto wangu ajaye
Picha linaanza miezi inaenda tumbo halikui nikamuambia mbona tumbo lako bado dogo sana akasema yeye hana tumbo kubwa nikamuambia sawa . Mimba inakaribia miezi mitano hajawahi niambia habari za clinic
Nikamwambia mbona huendi hata Kliniki akasema sio lazima ataenda .
Nikaanza kupatwa wasi wasi nikimuambia tukutane kimwili hataki analeta visingizio kibao.
Na wakati yeye ni moja kati ya wale wanawake wakiwa na hamu wanakujaga wenyewe bila hata kumwambia.
Nikamuambia kuanzia leo sitakupa hata mia yangu mpaka nione hyo mimba akawa mbogo na mm nikawa mbogo baada ya mvutanoo saana akaja kukubali kuwa hakua na mimba Alinidanganya aone respond yangu
Daaah asikuambie mtu niliumia saana maana nilitumia cost kubwa za kumjali.
Nimefupisha story ila mwanaume mwenzangu usimuamini mwanamke.
Mwisho wa siku nikampiga chini.
Now naendelea na maisha yangu.
Kuna mkasa naomba ni share na nyinyi hapa ulinitokea last year. Nilipitia kipindi cha sonona ila badae nilikuja kukaa sawa na sasa hivi life goes on ila siwezi sahau.
Ilikua hivi mwishoni wa mwaka 2020 nilianzisha mahusiano na dada mmoja alikua ni single mama tukaendelea mwaka jana kwenye mwezi wa 7 akanimbia ana mimba hii ilikua ni furaha sana kwangu basi kwakua nilikua namuamini nikaanza kulea mimba bado ikiwa changa kabisa basi bana .
Nikawa naongeza matunzo nikafungua mpka account ya benki kwa ajili ya mtoto wangu ajaye
Picha linaanza miezi inaenda tumbo halikui nikamuambia mbona tumbo lako bado dogo sana akasema yeye hana tumbo kubwa nikamuambia sawa . Mimba inakaribia miezi mitano hajawahi niambia habari za clinic
Nikamwambia mbona huendi hata Kliniki akasema sio lazima ataenda .
Nikaanza kupatwa wasi wasi nikimuambia tukutane kimwili hataki analeta visingizio kibao.
Na wakati yeye ni moja kati ya wale wanawake wakiwa na hamu wanakujaga wenyewe bila hata kumwambia.
Nikamuambia kuanzia leo sitakupa hata mia yangu mpaka nione hyo mimba akawa mbogo na mm nikawa mbogo baada ya mvutanoo saana akaja kukubali kuwa hakua na mimba Alinidanganya aone respond yangu
Daaah asikuambie mtu niliumia saana maana nilitumia cost kubwa za kumjali.
Nimefupisha story ila mwanaume mwenzangu usimuamini mwanamke.
Mwisho wa siku nikampiga chini.
Now naendelea na maisha yangu.