Aliniacha miaka mitano sasa ananilaumu nifanyaje?

Aliniacha miaka mitano sasa ananilaumu nifanyaje?

Acha kujitafutia stress Achana na huyo bwana
lea mtoto wako

hili ni jibu jepesi...maswali magumu juu ya jibu lako
1- dudu tamu utampa wewe?
2- mwenzako anataka kuolewa na hana bwana mwengine so akiachana naye atapata wapi wa kumuoa na ukichukulia ni nadra sana mzazi kuolewa na baba asiye mzazi mwenzie.
3- mtoto unaleaje bila baba na baba yake yupo
4- stress anazo na ndio maana anahitaji ushauri wetu.

kiufupi napinga majibu yako bado ni mepesi yanaacha maswali tata kwa wana jf kama sie.
 
hili ni jibu jepesi...maswali magumu juu ya jibu lako
1- dudu tamu utampa wewe?
2- mwenzako anataka kuolewa na hana bwana mwengine so akiachana naye atapata wapi wa kumuoa na ukichukulia ni nadra sana mzazi kuolewa na baba asiye mzazi mwenzie.
3- mtoto unaleaje bila baba na baba yake yupo
4- stress anazo na ndio maana anahitaji ushauri wetu.

kiufupi napinga majibu yako bado ni mepesi yanaacha maswali tata kwa wana jf kama sie.

Mmmm... come again, kama sijakuelewa vile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom