Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 3,426
- 10,602
- Thread starter
-
- #21
Hatukukutana sababu ya misimamo yangu.nidhamu ya shuleAlikua kitatanishi, kama hakupiga nahofu hakua mwanadam, kama alipiga ni mwanadam, viumbe vya kiroho hasa majini yanavumilia sana....
Hakua mtu, believe me, wana uwezo wa kukupeleka kwenye Maisha wanayotaka wao, wakiamua Kipi uone Kipi usione.....Pole mkuu
Ila kila nkitaka kuamini kwamba hakuwa mtu wa kawaida akili inagoma kabisa
Nlijaribu kipindi kile Ilikua Haiiti upande wa piliNamba yake ukupiga inapatikana?
Hapana.Kuna uwezekano mkubwa sana ulisahau ukachanganya nyumba. Kuna baadhi ya mitaa imefanana sana
Nina vitabu..calculators..na zawadi nyingine tulikua tunashareKuna shida mahali! Yawezekana uliishi maisha ya ndotoni kipindi hicho unadhani ni halisi.
Una chochote hapo alichokuachia kama zawadi au alama isiyo na shaka kwamba mtu huyo mliwahi kuwa pamoja?
Nisikuchoshe.... Nikishakula bangi zangu kuna maeneo nikifika nabishana na fahamu zangu kwamba niliwahi fanya hiki hapa ilihali unakuta sijawahi kanyaga maeneo hayo
Baba yake anaitwa henry moses..Liwiti tupo tangu 1984 ,jirani ni Mzee reheni abdalah(baba yake mke wa Mzee pinda)mafuru,mwakiyambik,msofe,akilimali ,hakunaga mtu wa hivyo
UnanitishaHakua mtu, believe me, wana uwezo wa kukupeleka kwenye Maisha wanayotaka wao, wakiamua Kipi uone Kipi usione.....
Now they are Watching you, ukionyesha ku mmiss anaweza rudi kwenye Maisha yako anytime, the rest yakawa Majuto.
Sina.ni miaka kumi sasaEmail je?
Hakuwahi.nlikua mwanafunziUmeulizwa alikutomb....?
Mate je?Hakuwahi.nlikua mwanafunzi
HajawahiMate je?
Pole mkuu
Ila kila nkitaka kuamini kwamba hakuwa mtu wa kawaida akili inagoma kabisa
Alipiga??
Mara ya mwisho alisafiri kwenda mtwaraUlikutana na kisa kama hiki hapa
Namtafuta hat kwenye mitandao simuoniHakuna mtu asiye wa kawaida, inawezekana alikuwa deep state wa taifa hili au lingine, mafia, dealer, gaidi n.k. Dunia ina mambo mengi sana.
Hongera dada Abigail Mungu wako alikukinga, nafikiri ulikuwa ukitembea na neema kubwa sana.Mara ya mwisho alisafiri kwenda mtwara
Akidai wazazi wake walienda huko so mamake anaumwa anaenda kumuona