Hahahaaaa...huyu mama dereva boda boda walimfanyia kitu mbaya sanaaa ..
Alikuwa anawagawia vizibao vya "nani Kama mama" katika kampeni za mwaka Jana lakini cha ajabu hawakumpigia kura ..teh teh teh!!
[HASHTAG]#dereva[/HASHTAG] pikipiki wote wa
-goba
-matosa
-tegeta A
-njia nne(goba)
-king'ongo
-kimara
-kibamba
-mpiji magohe
-kwembe
-msumi
-mbezi louis
-makabe .....
Na mimi mwenyewe hahahaa
MUNGU ANATUONA UJUE ..!!!(

)
Wema woote aliotufanyia wa kutupatia vizibao nk lakini bado tukamtosa! Yeuuuuuwii