Alikiba ameachia Mbio

Alikiba ameachia Mbio

Hata nikiwa na mb sijawahi kumuelewa kiba zaidi ya single boy na seduce me
 
Alikiba angeipa time ile ngoma ya Rock star maana itakufa TII na hii sio kali kwa maoni yangu japo itapata promo ya nguvu toka mawinguni
 
Dah huyu jamaa bora aache mziki sasa hiki ndonin sasa .. nyimbo ya miaka 10 iliyopita unaitoa leo kwel ? Dah
 
Back
Top Bottom