Aliipenda sana PCM

Ndugu wana JF,

Kuna dogo langu alipenda sana kusoma PCM advance amekuwa akifanya vizuri katika mitihani ya darasani ila kilicho mkuta NECTA form four 2015 hakuamini matokeo yake yapo Hivi; DIV II 20 CIV B KISW C CHEM C ENG C GEO D BIOS D PHYS F B /MATH HIST C .

Anasema hawezi Comb yeyote Ile ya art tofauti maana hata history ndio matokeo yake ya Physics coz aliichukia Sana history.

Wadau ushauri please kuhusu dogo maana dogo hata nikimtest bado yupo vizuri physics je atafanya Nini?
Kateni Rufaa, ili wayaangalie na ama kusahihisha upya mitihani yake.
 
Kwa PCM nadhani somo rahisi ambalo wala hausomi kwa presha na kukariri kwingi ni "pysics". Yaani ukijua "assumptions" raha sana.
Mkuu naona uleta utani wewe...
Physics ni zaidi ya assumptions.
Pure Maths ndo nyepesi zaidi kwenye hiyo combination ikifuatiwa na chemistry.
Mimi nilisoma pcm nikitokea technical school ambako ndo kwa wababe wa physics(Engineering Science) na o'level nilipata ufaulu wa 100% make sikuona swali la kukosa kwenye ile paper ya necta!
Advance physics imesimama dede tuache ubishi.
 
Mkuu naona uleta utani wewe...
Physics ni zaidi ya assumptions.
Pure Maths ndo nyepesi zaidi kwenye hiyo combination ikifuatiwa na chemistry.
Mimi nilisoma pcm nikitokea technical school ambako ndo kwa wababe wa physics(Engineering Science) na o'level nilipata ufaulu wa 100% make sikuona swali la kukosa kwenye ile paper ya necta!
Advance physics imesimama dede tuache ubishi.
WApi hiyo Kisima, Ifunda? tanga? Mtwara MOshi au?
 
Basi kila mtu anauelewa wake. Fizikia ilikuwa mteremko ila hesabu (advance maths) nilitumia nguvu kubwa sana na hata sitaki kuisikia!
Physics na ADv. Math nilikuwa naviona kama vile vina weight inayofanana, issue ilikuwa kulw kwenye ma-organic na non organic Chemistry. Acha kabisa
 
Hapo ndiyo kwenye shida. Mwalimu alipokuwa akielezea mfano kubadili compound fulani kwenda fulani akifanya yeye unaona rahisi.

Kuna siku nilimuuliza mwalimu kwanini pakiwa na compound hii/group hii unaweka kitu hiki. Alinijibu "wewe elewa hivyo tu". Watu walimeza!
NAmkumbuka Teacher wa Chemistry wa Adv alikuw anaitwa Galileo. Yeye mwenyewe yaani kuna wakati alikuwa mzima, kuna wakti alikuwa mteja wa Mirembe. Achana kabisa na habari ya Chemistry
 
Ndugu wana JF,

Kuna dogo langu alipenda sana kusoma PCM advance amekuwa akifanya vizuri katika mitihani ya darasani ila kilicho mkuta NECTA form four 2015 hakuamini matokeo yake yapo Hivi; DIV II 20 CIV B KISW C CHEM C ENG C GEO D BIOS D PHYS F B /MATH HIST C .

Anasema hawezi Comb yeyote Ile ya art tofauti maana hata history ndio matokeo yake ya Physics coz aliichukia Sana history.

Wadau ushauri please kuhusu dogo maana dogo hata nikimtest bado yupo vizuri physics je atafanya Nini?
Binafsi niliipenda sana PGM
Lakini matokeo yaliniangusha na kimsingi sikuiweza ki vile.
Mshauri afanye kitu anachokiweza na wala si anachopipenda.
 
Ni kweli kwa matokeo hayo fanya unachokiweza zaidi maana kwa sasa ndalichako kasema ni lazima uwe na CCC kwa kiwango cha mwisho ndio uwende A level na ni kwa both gov.na priv hakuna kurisiti somo ukitokea O level must zote ziwe hivo na si kwa kurisiti
But hongera umejitahidi
 
Hiyo ndo shida ya kutoa kuwa guide madogo wakiwa chini, yeye anaipenda PCM ila hakuwahi kuiweza,mtu anayeliweza somo hawezi pata F hata akiingia mgonjwa,hakufuatiliwa mapema kusaidiwa anaweza nn,mm nilikuwa napenda ECA ila kakaangu kuna siku nikiwa form two aliangalia matokeo yangu akaniambia achana na hui mpango komaa na EGM na kweli nilifaulu vzr olevel na A level na nilichaguliwa EGM minaki ,,kwa hapo mshaurini apende alichofaulu vzr hata kama ni HKL kwani matokeo ya advance hayana direct effect na kile atakachosoma chuo....kuna jamaa zangu walisoma HKL na Leo ni wahasibu wazr,kuna watu walihangaika PCB na Leo ni ma hr....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom