Aliipenda sana PCM

Andrew Sosipeter

Senior Member
May 29, 2016
189
33
Ndugu wana JF,

Kuna dogo langu alipenda sana kusoma PCM advance amekuwa akifanya vizuri katika mitihani ya darasani ila kilicho mkuta NECTA form four 2015 hakuamini matokeo yake yapo Hivi; DIV II 20 CIV B KISW C CHEM C ENG C GEO D BIOS D PHYS F B /MATH HIST C .

Anasema hawezi Comb yeyote Ile ya art tofauti maana hata history ndio matokeo yake ya Physics coz aliichukia Sana history.

Wadau ushauri please kuhusu dogo maana dogo hata nikimtest bado yupo vizuri physics je atafanya Nini?
 
Kama anaipenda sana PCM, Nafasi bado ipo....Shule za Binafsi(Private) zipo, anaweza kwenda kusoma huko....Very Possible.
 
Ila sio lazima kulazimisha PCM, kama anataka kusifiwa kuwa anasoma PCM shauri yake! Physics bado ni mziki kule Advance...Topic kibao.....

Chem na Math atleast ziko pouwa..
 
"Aliipenda sana physics" lakini hakufanikiwa kuimudu!
Advance kwenye PCM somo gumu ni hiyo Physics!
Awe makini sana otherwise atataga yai jingine huyo...
 
Ila sio lazima kulazimisha PCM, kama anataka kusifiwa kuwa anasoma PCM shauri yake! Physics bado ni mziki kule Advance...Topic kibao.....

Chem na Math atleast ziko pouwa..
Ivi ushajiuliza kwanini ma TO wanatoka PCM tu na sio hkl au cbg et al..???
 
Ivi ushajiuliza kwanini ma TO wanatoka PCM tu na sio hkl au cbg et al..???

Sijafanya utafiti, but jibu la haraka ni kwa kuwa waliofaulu sana Form 4 wengi hukimbilia PCM na PCB.......so, kule wanaendeleza kukaza kama kawaida.
 
Sio lazima kila mtu asome A level kabla ya university. Akajaribu diploma ya ufundi fani anayopenda ajitahidi kufanya vizuri then ataingia university kusoma zaidi hiyo fani. A level sio mzaha. Kwa performance hii sishauri achukue advance Physics itakuwa balaa. Ila kuchukua CBG ni badiliko kubwa sana la ndoto yake pia ni tatizo. Labda kama ataridhia kutoka ndani ya moyo wake. Yeye ndio anajua zaidi nini kitamfaa sisi tunasaidia kushauri tu. Ni maisha yake.
 
Sio lazima kila mtu asome A level kabla ya university. Akajaribu diploma ya ufundi fani anayopenda ajitahidi kufanya vizuri then ataingia university kusoma zaidi hiyo fani. A level sio mzaha. Kwa performance hii sishauri achukue advance Physics itakuwa balaa. Ila kuchukua CBG ni badiliko kubwa sana la ndoto yake pia ni tatizo. Labda kama ataridhia kutoka ndani ya moyo wake. Yeye ndio anajua zaidi nini kitamfaa sisi tunasaidia kushauri tu. Ni maisha yake.
Ni kweli brother dogo aende tu diploma maana anasema aliweka sana nguvu zote kwenye PCM coz anapenda mathematics kuliko vitu vyote duniani
 
aache mbwembwe, kama amepata F olevel huko mbele hawezi faulu, aache fuata mkumbo akasome maHKL/HGE tu hamna namna
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom