hassan mdidi
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 421
- 167
hata "D" kaikosa? angeipata hiyo angefanikisha zoezi lake
Nimekusoma mkuu. Hapo kunachangamoto kubwa kwenye mfumo.sifa hana hata kusoma certifcate ya engineering ni heri angeferi hata kemia kuliko physics coz huo ndo msing wa fani zote za engineering nimekwambia bora ungeferi kemia ninamaana kubwa kwan sifa za kusoma hizo fani kupitia advance unatakiwa usoma kombi kama PCM, PGM, PCB so P una "f" ukiingi nacte sifa uwe na pass walau Ds za masomo tajwa hapo juu ili udailiwe ktk vyuo kama MUST, DIT, na ATC mimi siku laumu umefaulu vizur tatizo mfumo wetu wa elimu sio mzur mtu unasoma masomo meng unafauru yote lakin huyatumii huyo dogo ameweka effort ktk masomo mengine na kupoteza somo muhimu kwake kama hilo, tupunguze wing wa masoma ili tupunguze kukalili mfumo wa combination ulitakiwa kuanza 4m3 baada kufauru 4m2 na atachaguliwa ktk masomo ma3 aliofaulu kwa wastan wa juu ila civcs na english yatabaki kama masomo ya lazima kwa comb zote then ataenda advance baada ya kufauru hayo komb yake hapo ndo tutapa watu wenye tija ktk taifa hili
ni kombi nzur bt ni moja ya kombi inayopoteza ndoto za mainjinia na madaktar watarajiwa cmkatish tamaa dgo binafs nilipga hyo kombi na nilipata S kwahyo kama anaipenda bas mpeleke private nzur na umwambie asome sana hakka atafanikiwa lakn pia mwambie anaweza kupga bridge course ktk vyuo vya ufund na kufkia ndoto zakeNdugu wana JF,
Kuna dogo langu alipenda sana kusoma PCM advance amekuwa akifanya vizuri katika mitihani ya darasani ila kilicho mkuta NECTA form four 2015 hakuamini matokeo yake yapo Hivi; DIV II 20 CIV B KISW C CHEM C ENG C GEO D BIOS D PHYS F B /MATH HIST C .
Anasema hawezi Comb yeyote Ile ya art tofauti maana hata history ndio matokeo yake ya Physics coz aliichukia Sana history.
Wadau ushauri please kuhusu dogo maana dogo hata nikimtest bado yupo vizuri physics je atafanya Nini?
mkuu vp vgezo vya bridge course kwenye hvyo vyuo anaweza kupata?sifa hana hata kusoma certifcate ya engineering ni heri angeferi hata kemia kuliko physics coz huo ndo msing wa fani zote za engineering nimekwambia bora ungeferi kemia ninamaana kubwa kwan sifa za kusoma hizo fani kupitia advance unatakiwa usoma kombi kama PCM, PGM, PCB so P una "f" ukiingi nacte sifa uwe na pass walau Ds za masomo tajwa hapo juu ili udailiwe ktk vyuo kama MUST, DIT, na ATC mimi siku laumu umefaulu vizur tatizo mfumo wetu wa elimu sio mzur mtu unasoma masomo meng unafauru yote lakin huyatumii huyo dogo ameweka effort ktk masomo mengine na kupoteza somo muhimu kwake kama hilo, tupunguze wing wa masoma ili tupunguze kukalili mfumo wa combination ulitakiwa kuanza 4m3 baada kufauru 4m2 na atachaguliwa ktk masomo ma3 aliofaulu kwa wastan wa juu ila civcs na english yatabaki kama masomo ya lazima kwa comb zote then ataenda advance baada ya kufauru hayo komb yake hapo ndo tutapa watu wenye tija ktk taifa hili
Daaah ebhn dg anaipenda physics bt phy aimpend....a level c mchzo kkNdugu wana JF,
Kuna dogo langu alipenda sana kusoma PCM advance amekuwa akifanya vizuri katika mitihani ya darasani ila kilicho mkuta NECTA form four 2015 hakuamini matokeo yake yapo Hivi; DIV II 20 CIV B KISW C CHEM C ENG C GEO D BIOS D PHYS F B /MATH HIST C .
Anasema hawezi Comb yeyote Ile ya art tofauti maana hata history ndio matokeo yake ya Physics coz aliichukia Sana history.
Wadau ushauri please kuhusu dogo maana dogo hata nikimtest bado yupo vizuri physics je atafanya Nini?
NAkumbuka wakati ule wa Old Moshi high School, Wakati huo shule ilikuwa madume tupu, wote Combinations za vichaa PCM and PCB. Thanks God sikuiabisha. (Div I-9) si mchezo. Huku O level nikiwa na Div I ya 11( yenye A,B,B ya PCM).phz huko advance ni zaidi ya olevel
Mmmmh kweli?Hawezi pokelewa na akipokelewa hatofanya necta form6 mpaka arudie mtihan wa physics apate c
Ila kweli kaka wewe ndio umempa ushauri lakini kuna uwezokano baadae akaendelea na elimu ya juu baada ya Ajira au?Akafanye diploma ya ualimu wa, shule za msingi sayansi mbona yupo fresh tu huyo
Ndugu wana JF,
Kuna dogo langu alipenda sana kusoma PCM advance amekuwa akifanya vizuri katika mitihani ya darasani ila kilicho mkuta NECTA form four 2015 hakuamini matokeo yake yapo Hivi; DIV II 20 CIV B KISW C CHEM C ENG C GEO D BIOS D PHYS F B /MATH HIST C .
Anasema hawezi Comb yeyote Ile ya art tofauti maana hata history ndio matokeo yake ya Physics coz aliichukia Sana history.
Wadau ushauri please kuhusu dogo maana dogo hata nikimtest bado yupo vizuri physics je atafanya Nini?
AAAAAhhhhhh Ombi, acha kunidharirisha kiongozi. Kutoka ABB Mpaka DDA, inaweza kuwa ni BDC au hata BCD. ThanksHongera sana. Ila Div 1-9 pia inapatikana kwa DDA.