manchoso
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 1,606
- 2,055
Wana yanga tusikate tamaa
Timu yetu imeonyesha bado ina uwezo wa kupambana na tuendelee kuipa moyo
Kiukweli simba imetuzidi uwezo wana wachezaji mahiri kila idara wanacheza na kupanga mashambulizi kiuhakika kuliko yanga ''it was a game between beauty and the beast''
yanga japokuwa tuna timu dhaifu ila tulikomaa kikweli kikweli hususan kipindi cha kwanza, hivyo haina haja ya kumtafuta mchawi nani,
kama wachezaji wa yanga wataendelea kucheza kwa kujituma kama jana wanaweza wakachukua ubingwa
YANGA MBELE DAIMA NYUMA MWIKO
Timu yetu imeonyesha bado ina uwezo wa kupambana na tuendelee kuipa moyo
Kiukweli simba imetuzidi uwezo wana wachezaji mahiri kila idara wanacheza na kupanga mashambulizi kiuhakika kuliko yanga ''it was a game between beauty and the beast''
yanga japokuwa tuna timu dhaifu ila tulikomaa kikweli kikweli hususan kipindi cha kwanza, hivyo haina haja ya kumtafuta mchawi nani,
kama wachezaji wa yanga wataendelea kucheza kwa kujituma kama jana wanaweza wakachukua ubingwa
YANGA MBELE DAIMA NYUMA MWIKO