AliExpress wamefikia hapa kwenye kutuma mzigo wangu, nifanyeje!?

Ingia website ya Posta, kuna sehemu unaweza ku track mzigo kama umewafikia kwa kutumia namba ya mzigo.

Binafsi nilishawahi kuagiza mizigo na ikafika ila posta wakachelewa kunitaarifu, kwaiyo huwa natumia website yao kujua mzigo wangu upo wapi kama nilikonunua wamenijuza mzigo umefika.
Ngoja nijaribu kuwacheck maana naona hakuna updates tena kwangu.
 
Kumbe Kuna stress hivi kusubiri parcel za kutoka AliExpress.
 
Kumbe Kuna stress hivi kusubiri parcel za kutoka AliExpress.
Stress inakuja kutokana na method gani iliyotumika kutuma mzigo. Nikushauri kidogo, kama uko na Tracking number nenda Posta kaulize sababu kuendelea kusubiri mzigo wako waweza chukua siku nyingi ukalipishwa pesa ya kutunza mzigo. Mwaka huu mwezi wa pili mwanzoni nilinunua mzigo na kutumwa kuja Tz, mwezi huo wa pili mwishoni ukawa umefika ila Posta hawakunijulisha kuwa mzigo wangu umefika nikachukue. Nikaendelea kusubiri kujulishwa, mwezi wa sita mwishoni napokea text ya Posta ikisema niende kuchukua mzigo wangu nikichelewa unarudishwa ulikotoka. Nikafika Posta upesi, baada ya kuwapa Local number ya mzigo na mzigo kuletwa naambiwa mzigo ulifika tangu mwezi wa tatu na walinitumia text hivyo natakiwa kulipia gharama za kukaa na mzigo kwa kipindi chote hicho. Ukweli ni, hakuna text yoyote niliyopokea huo mwezi wa tatu kutoka Posta. Nenda Posta kaulizie.
 
Stress inakuja kutokana na method gani iliyotumika kutuma mzigo. Nikushauri kidogo, kama uko na Tracking number nenda Posta kaulize sababu kuendelea kusubiri mzigo wako waweza chukua siku nyingi ukalipishwa pesa ya kutunza mzigo. Mwaka huu mwezi wa pili mwanzoni nilinunua mzigo na kutumwa kuja Tz, mwezi huo wa pili mwishoni ukawa umefika ila Posta hawakunijulisha kuwa mzigo wangu umefika nikachukue. Nikaendelea kusubiri kujulishwa, mwezi wa sita mwishoni napokea text ya Posta ikisema niende kuchukua mzigo wangu nikichelewa unarudishwa ulikotoka. Nikafika Posta upesi, baada ya kuwapa Local number ya mzigo na mzigo kuletwa naambiwa mzigo ulifika tangu mwezi wa tatu na walinitumia text hivyo natakiwa kulipia gharama za kukaa na mzigo kwa kipindi chote hicho. Ukweli ni, hakuna text yoyote niliyopokea huo mwezi wa tatu kutoka Posta. Nenda Posta kaulizie.
Asante kwa maelekezo. Ngoja nitafite Namna ya kufuatilia zaidi. Nashukuru.

Ila ulijaribu kutrack mzigo? Au
 
Next time unaweza kutumia transportation agents ukaupata kiulaiini
Aisee! Itabidi tu nifanye hivyo, sikuwa na wenyeji saana wa kununua bidhaa online that's why nikakurupuka imagine nlitaka Hadi nimtumie mkwanja seller kwa Western Union!? Aisee!?
 
Aisee! Itabidi tu nifanye hivyo, sikuwa na wenyeji saana wa kununua bidhaa online that's why nikakurupuka imagine nlitaka Hadi nimtumie mkwanja seller kwa Western Union!? Aisee!?

Tafuta jamaa wanaitwa mapembelo
Ukiagiza mzigo wanafanya kila kitu wewe unaupokea tu hapa Tz kwenye ofisi zao
 
Tafuta jamaa wanaitwa mapembelo
Ukiagiza mzigo wanafanya kila kitu wewe unaupokea tu hapa Tz kwenye ofisi zao
Asante, nitawacheck coz nna mzigo nahitaji kuingiza nchini this soon.
 
Ukienda kuchukua mzigo wako posta utakacholipia ni gharama ya uendeshaji posta 5900 na tra utalipia import duty pekee kwa kinachostahili hakuna kodi utakayolipishwa zaidi ya hiyo, kunbuka pia kuna vitu vingine havilipiwi import duty. Nimetuma nyaraka hiyo post #29 fungua uisome. Then kuwa mwelewa kwenye matumizi ya lugha. Hakuna sehemu niliyosema kisicholipiwa kina viwango. Nimesema hivi kinacholipiwa, kisicholipiwa pamoja na viwango. Nilipotaja neno viwango halimaanishi vhivyo viwango vinakihusu kisicholipiwa. Kiswahili ni kipana ndugu
Mimi hiyo PDF sijaelewa kitu.
 
Nilitrack na kuonyeshwa mzigo umefika, tatizo likawa Posta kufanya uzembe kutonipa taarifa mapema.
Daaah! Mimi hata tracking imegoma Tena... Hakuna any updates Hadi Sasa.
Na Niko Zanzibar kwa Sasa siwezi hata kuchepuka fasta nikaenda physically posta kuulizia.
Vipi unaweza kuwa na namba za mtu yeyote anaefanya kazi pale posta?
 
Mimi hiyo PDF sijaelewa kitu.
Tuliza akili mkuu utaielewa, kiufupi bidhaa zote zipo kwenye tariff tofauti, hivyo ili hivyo hata import duty pia imegawanyika, pia kuna bidhaa hazina import duty. Baadhi ya bidha import duty inakatwa 10% 20% 25.
 
Tuliza akili mkuu utaielewa, kiufupi bidhaa zote zipo kwenye tariff tofauti, hivyo ili hivyo hata import duty pia imegawanyika, pia kuna bidhaa hazina import duty. Baadhi ya bidha import duty inakatwa 10% 20% 25.
kwa hiyo hiyo tariff iliyoandikwa hapo ni import duty?
 
Huu ndio ushauri sahihi. Nishaagiza mara nyingi sana na mara zote watu wa posta huwa wanaipigia simu mzigo wangu ukifika. Ushauri wangu ni kuwa, kama uliweka anauni pamoja na namba ya simu basi vuta subira, utapigiwa simu,hata kama ni DHL huwa wanapiga simu
Kuna tofauti gani kati ya DHL NA POSTA
 
Back
Top Bottom