Watakuja,
Wewe ni mwaminifuu?,hujawahi kuwa na mwanamke? Tutathibishaje uaminifu wako?Hi wana Jf
Natafuta mchumba mwaminifu ili aje kuwa Mke wngu. Aliyetayari ani PM.
Umri wangu ni 37, urefu sm 150, elimu yangu ni ya kawaida lkn nitafurahi sana atakayekuwa tayari bc angalau awe na stashaha au shagada.
Nenda wewe bhanaa
Hi wana Jf
Natafuta mchumba mwaminifu ili aje kuwa Mke wngu. Aliyetayari ani PM.
Umri wangu ni 37, urefu sm 150, elimu yangu ni ya kawaida lkn nitafurahi sana atakayekuwa tayari bc angalau awe na stashaha au shagada.
Jamani wana JF habari za tangu jana ?, nmerudi tena humu na uzi wangu ule ule sitanii, nahitaji mchumba.
Jamani wana JF habari za tangu jana ?, nmerudi tena humu na uzi wangu ule ule sitanii, nahitaji mchumba.[/
Ulivyikosea hayo maneno haupo serious
Hi wana Jf
Natafuta mchumba mwaminifu ili aje kuwa Mke wngu. Aliyetayari ani PM.
Umri wangu ni 37, urefu sm 150, elimu yangu ni ya kawaida lkn nitafurahi sana atakayekuwa tayari bc angalau awe na stashaha au shagada.
Ngoja nimuite naniliu yule,
Hi wana Jf
Natafuta mchumba mwaminifu ili aje kuwa Mke wngu. Aliyetayari ani PM.
Umri wangu ni 37, urefu sm 150, elimu yangu ni ya kawaida lkn nitafurahi sana atakayekuwa tayari bc angalau awe na stashaha au shagada.