Alien Life? Scientists Discover Evidence of Flowing Water on Mars

Hivi kweli bado tuendelee kuamini kuwa Structures kubwa kama hizo zilijengwa kama makaburi ya Pharaos tu,
Ok kama ni Makaburi what about these Interesting facts:
  • The perimeter of the pyramid divided by two times the height would equal to pi (3.1416…) up to the fifteenth digit.
  • The 3 pyramids of Giza is exactly aligned with the stars of the the Orions belt
  • The pyramid is lined up exactly with the magnetic north pole.
  • The pyramid lies 31 degrees north and 31 degrees west, longitude and latitude.


Facts za aina hiyo hazimaanishi chochote, chukua hiyo ya kwanza kwa mfano

Perimeter divided by two times the height ....

1. Why perimeter divide by two times the height? whats the significance?

2. Kwa unit gani? if you say it is by centimeters, why not by feet or yards?
 
@Gaijin
1. Hapa ni perimeter ya Pyramid 1760 na height yake 280, kwa hiyo ratio yake ni 1760/280=2π,kwa hiyo ukigawanya kwa mbili 2π/2 unabaki na π

2. Units iliyotumika ni Cubits (an Ancient unit of length) na hii ndio iliyotumika kwenye research za mwanzo na unaweza kui-convert kwenye unit yoyote ile
Hapo ni kuonyesha ni kwa kiwango gani na sayansi ya hali ya juu kiasi gani imetumika katika kujenga hizo pyramids, ni vigumu sana kwa Structure kubwa kama ile Piramidi (GIZA) kujengwa kwa usahihi wa kiasi hicho kwa Technologia inayozungumzwa iliyokuwepo
 
@Gaijin
1. Hapa ni perimeter ya Pyramid 1760 na height yake 280, kwa hiyo ratio yake ni 1760/280=2π,kwa hiyo ukigawanya kwa mbili 2π/2 unabaki na π

2. Units iliyotumika ni Cubits (an Ancient unit of length) na hii ndio iliyotumika kwenye research za mwanzo na unaweza kui-convert kwenye unit yoyote ile
Hapo ni kuonyesha ni kwa kiwango gani na sayansi ya hali ya juu kiasi gani imetumika katika kujenga hizo pyramids, ni vigumu sana kwa Structure kubwa kama ile Piramidi (GIZA) kujengwa kwa usahihi wa kiasi hicho kwa Technologia inayozungumzwa iliyokuwepo


Tunarudi kule kule kuwa huijui teknolojia iliyokuwepo wakati huo na preciseness ya pi inategemeana na approximation ya vipimo pia.

Still kuna kila aina ya theories ambazo zote zinaendelea kubaki kuwa theories kwa sababu hatujui kwa uhakika teknolojia wala elimu yao ya mathematics kwa wakati huo ilikuwaje.

Una huyu kwa mfano

http://www.math.washington.edu/~greenber/PiPyr.html

Kuwepo kwa Pyramids pekee hakumaanishi kuwa Aliens walifika duniani na wakajenga
 
Tunarudi kule kule kuwa huijui teknolojia iliyokuwepo wakati huo na preciseness ya pi inategemeana na approximation ya vipimo pia.

Still kuna kila aina ya theories ambazo zote zinaendelea kubaki kuwa theories kwa sababu hatujui kwa uhakika teknolojia wala elimu yao ya mathematics kwa wakati huo ilikuwaje.

Una huyu kwa mfano

http://www.math.washington.edu/~greenber/PiPyr.html

Kuwepo kwa Pyramids pekee hakumaanishi kuwa Aliens walifika duniani na wakajenga

shahidi zipo nyingi rejea post yangu ya nyuma niliyosema tuanzie na Piramids, tujaribu kupima logic, mimi binafsi mpaka sasa sijaona nguvu ya hoja inayotoa angalau mwanga wa kusema Wa Egypt walijenga Piramids, na katika historia yao wala hawajawahi kuelezea hilo

Pharao walijaribu sana kutengeneza hayo Mapiramids na mengi yalikuwa na umri mdogo kuliko la GIZA na almost yote yalianguka ni trace tu zinazoonekana na hayana uwiano na urali sawa na yaliyobaki

Jaribu kugoogle DOGON tribe and Sirius (Mali/ Bukinabe) kwa ushahidi mwingine
 
Ikitokea plausible information ya kuelezea yalivyojengwa hayo ma pyramids jee? (maana naamini kuwa ndio kwanza bado, artifacts za ancient Egypt ndio kwanza zinapatikana zaidi na zaidi)

Who Built the Pyramids? | Harvard Magazine Jul-Aug 2003

Nimecheka comment hii kutoka kwenye hiyo link....

"At least we know blacks can't claim they "built the pyramids" lol - they seem to think they "built America" as well. makes you wonder why Africa is in such bad shape if they were such grand builders!!"
 
Back
Top Bottom