SBAKARI
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 355
- 289
Habari zenu wapendwa,
Jamani mimi ninajambo halinifurahishi kabisa sijui kama na wewe umewahi kughafilika juu ya hili swala.
Kumekua na tabia/Tamaduni ya unapotaka kuoa kama mwanamke ni muislaam na wewe mume ni mkristo kuna kua na pingamizi kubwa sana kutoka kwa wazazi, au mume muislaam na mke ni mkristo basi wazazi pia wanapinga sana.
Hivi kwanini viongozi wa dini wasiingilie kati swala hili wabadili tu huo utaratibu ingawa wao ndo wanaoongoza kupinga, naomba waache mwanamke aamue mwenyewe na sio kupangiana udini.
Je hawaoni kua wananyima haki ya msingi kabisa kwa mabinti zao?
Je hawajui wanatukosesha wanawake wazuri/chaguo kwasisi wanaume tunaoitaji kuoa?
Kama kuna Mapadri na Mashekhe humu JF hebu tafakarini hili
Jamani mimi ninajambo halinifurahishi kabisa sijui kama na wewe umewahi kughafilika juu ya hili swala.
Kumekua na tabia/Tamaduni ya unapotaka kuoa kama mwanamke ni muislaam na wewe mume ni mkristo kuna kua na pingamizi kubwa sana kutoka kwa wazazi, au mume muislaam na mke ni mkristo basi wazazi pia wanapinga sana.
Hivi kwanini viongozi wa dini wasiingilie kati swala hili wabadili tu huo utaratibu ingawa wao ndo wanaoongoza kupinga, naomba waache mwanamke aamue mwenyewe na sio kupangiana udini.
Je hawaoni kua wananyima haki ya msingi kabisa kwa mabinti zao?
Je hawajui wanatukosesha wanawake wazuri/chaguo kwasisi wanaume tunaoitaji kuoa?
Kama kuna Mapadri na Mashekhe humu JF hebu tafakarini hili