Aliegongwa na gari na kufa hapo hapo na kuzikwa apiga simu kwa mkewe

Mrejesho huu hapa

Kwa kuwa ni tukio la kusisimua na kwangu niliona kitu ambacho hakiwezekani

Ikanibidi nichukue usafiri kwa ajili ya kwenda kushuhudia maana mambo ya kusimuliana chumvi zinakuwa nyingi

Hatimae nimewasili mtaan kwa yule mzee nikakutana na majilani zake nao wakiwa wanangoja kwa hamu kumuona yule mzee punde kama majila ya saa sita hivi

Tunaiona gari ikiingia kwenye ile nyumba ya marehem ikabidi tusogelee eneo la tukio

Dah kuja kucheki namuona yule mzee akishuka kwenye gari tena akiwa kwenye mavazi yale yale

Kiukwel majilan na watu waliokuwepo pale hawakuamini
Yule mzee akatoa salamu tukajibu nakuanza kuongea haya

Msiwe na shaka ni mimi nikweli mliona kama ajali ila ile ni kiini macho dada yangu ndio aliyenifanyia haya

Sikuile nilikuwa natoka hospitali kumwona mjomba wangu kipindi narudi nikajikuta ninausingizi wa gafula nikiwa njia basi nikasema ngoja nijipunguze mwendo nipunzike

Muda sio punde nikajikuta nipo sehem tofauti na mazingira niliyokuwepo ila kwakuwa mimi ni mtu wa mila nikajua kinachoendelea na kilichofanyika

Nikiwa huko huko nikafanya mambo ninayoyajua basi hatimae nikatokea sehem nakukuta watu wakiuzika mgombaa ila mimi sikuweza jitokeza kwenye macho ya kawaida mpaka mazishi yalipo kamilika

Kwa alivyoongea vile sikushangaa maana mwenyewe nilishawah kupanda kifuu cha nazi toka zambia mpaka tz mchana kweupe nitaleta stoli hapa ilikuaje
Mnaacha kutulete stori za namna ya kuingia strongroom ya benki kuu kwa ungo na kutoka na kitita cha heshima , mnatuletea hadithi za mikingamo!
 
Mrejesho huu hapa

Kwa kuwa ni tukio la kusisimua na kwangu niliona kitu ambacho hakiwezekani

Ikanibidi nichukue usafiri kwa ajili ya kwenda kushuhudia maana mambo ya kusimuliana chumvi zinakuwa nyingi

Hatimae nimewasili mtaan kwa yule mzee nikakutana na majilani zake nao wakiwa wanangoja kwa hamu kumuona yule mzee punde kama majila ya saa sita hivi

Tunaiona gari ikiingia kwenye ile nyumba ya marehem ikabidi tusogelee eneo la tukio

Dah kuja kucheki namuona yule mzee akishuka kwenye gari tena akiwa kwenye mavazi yale yale

Kiukwel majilan na watu waliokuwepo pale hawakuamini
Yule mzee akatoa salamu tukajibu nakuanza kuongea haya

Msiwe na shaka ni mimi nikweli mliona kama ajali ila ile ni kiini macho dada yangu ndio aliyenifanyia haya

Sikuile nilikuwa natoka hospitali kumwona mjomba wangu kipindi narudi nikajikuta ninausingizi wa gafula nikiwa njia basi nikasema ngoja nijipunguze mwendo nipunzike

Muda sio punde nikajikuta nipo sehem tofauti na mazingira niliyokuwepo ila kwakuwa mimi ni mtu wa mila nikajua kinachoendelea na kilichofanyika

Nikiwa huko huko nikafanya mambo ninayoyajua basi hatimae nikatokea sehem nakukuta watu wakiuzika mgombaa ila mimi sikuweza jitokeza kwenye macho ya kawaida mpaka mazishi yalipo kamilika

Kwa alivyoongea vile sikushangaa maana mwenyewe nilishawah kupanda kifuu cha nazi toka zambia mpaka tz mchana kweupe nitaleta stoli hapa ilikuaje
kwanza wewe si handsome,muongo.

na hii story yako imejaa ukakasi.
 
Mrejesho huu hapa

Kwa kuwa ni tukio la kusisimua na kwangu niliona kitu ambacho hakiwezekani

Ikanibidi nichukue usafiri kwa ajili ya kwenda kushuhudia maana mambo ya kusimuliana chumvi zinakuwa nyingi

Hatimae nimewasili mtaan kwa yule mzee nikakutana na majilani zake nao wakiwa wanangoja kwa hamu kumuona yule mzee punde kama majila ya saa sita hivi

Tunaiona gari ikiingia kwenye ile nyumba ya marehem ikabidi tusogelee eneo la tukio

Dah kuja kucheki namuona yule mzee akishuka kwenye gari tena akiwa kwenye mavazi yale yale

Kiukwel majilan na watu waliokuwepo pale hawakuamini
Yule mzee akatoa salamu tukajibu nakuanza kuongea haya

Msiwe na shaka ni mimi nikweli mliona kama ajali ila ile ni kiini macho dada yangu ndio aliyenifanyia haya

Sikuile nilikuwa natoka hospitali kumwona mjomba wangu kipindi narudi nikajikuta ninausingizi wa gafula nikiwa njia basi nikasema ngoja nijipunguze mwendo nipunzike

Muda sio punde nikajikuta nipo sehem tofauti na mazingira niliyokuwepo ila kwakuwa mimi ni mtu wa mila nikajua kinachoendelea na kilichofanyika

Nikiwa huko huko nikafanya mambo ninayoyajua basi hatimae nikatokea sehem nakukuta watu wakiuzika mgombaa ila mimi sikuweza jitokeza kwenye macho ya kawaida mpaka mazishi yalipo kamilika

Kwa alivyoongea vile sikushangaa maana mwenyewe nilishawah kupanda kifuu cha nazi toka zambia mpaka tz mchana kweupe nitaleta stoli hapa ilikuaje
tea.jpeg
disappoint.gif
 
Dah dunia hiyi inamambo
Ni majila ya asubuhi ya tarehe 5/9/2021 natoka zangu hotelini naelekea bus stand kwaajili ya kukata tiketi kuelekea sehemu

Nikiwa njiani nimesimama kungoja bodaboda mara lori linatoka spidi
Kwa mbele yangu namuona mzee mmoja akiwa na pikiki akiwa barabarani nyuma yake ikiwa ile lori ya makaa ya mawe
.ghafla nashuhudia ajali mbaya ya lori kugonga kwa nyuma ile pikipik na yule mzee kutupwa kwa mbele

Hatimae lori inapanda mwili wa yule mzee na kumkanyaga asee sijawah shuhudia kichwa cha binadam kulia midhir ya bom

Nikabaki nimeduwaa na dereva wa roli kutokomea

Punde watu wakajaa na kupiga simu polisi polis wakaja na kuzoa viungo maana si mwili tena hautamaniki

Ikabidi nisitishe zoez la kusafili ili kushiriki kama mtanzania
Bas baada ya siku mbili zikaandaliwa ratiba za kuusafirisha mwili

Na kwenda kupumzishwa kwenye nyumba ya milele

Hatimae akazikwa

Sasa nilichoshangaa jana nimepigiwa simu na ndugu yangu kuwa jamaa uliemshuhudia kugongwa na gari

Kampigia simu mkewake na kumwambia awaambie majiran yeye yuko hai na hajaumia popote kwahiyo akija wasishangae

Kiukweli sikuamini nikajua ndugu yangu ananitania nikapiga simu kwa jamaa zangu wa karibu na nyumb ile ya marehem ndio wakanihadithia vizur

hapa ndio wanamngoja huyo mZee kesho anawasili nitaleta mrejesho hiyi imetokea songea ila huyo jamaa ni mtu wa njombe ni mkinga mke wake mbena
Najiuliza tu inawezekana vipi

Mrejesho upo comment namba 64
Haya mauza uza yapo mkuu.Yupo jamaa aliyetumbukizwa mto Kilombero miezi michache iliyopita kawatokea ndugu zake Mwanza.
 
Hiyo migari siipendi hata,nikisikia sauti ya hiyo migari nakaa mbali mita 60,

Juzi wamemgonga mtoto kichwa kimepasuka kama bomu,na wakigonga hawasimami
 
Back
Top Bottom