Hahaha tozo tenaYote yameletwa na Tozo haya!
Mnaacha kutulete stori za namna ya kuingia strongroom ya benki kuu kwa ungo na kutoka na kitita cha heshima , mnatuletea hadithi za mikingamo!Mrejesho huu hapa
Kwa kuwa ni tukio la kusisimua na kwangu niliona kitu ambacho hakiwezekani
Ikanibidi nichukue usafiri kwa ajili ya kwenda kushuhudia maana mambo ya kusimuliana chumvi zinakuwa nyingi
Hatimae nimewasili mtaan kwa yule mzee nikakutana na majilani zake nao wakiwa wanangoja kwa hamu kumuona yule mzee punde kama majila ya saa sita hivi
Tunaiona gari ikiingia kwenye ile nyumba ya marehem ikabidi tusogelee eneo la tukio
Dah kuja kucheki namuona yule mzee akishuka kwenye gari tena akiwa kwenye mavazi yale yale
Kiukwel majilan na watu waliokuwepo pale hawakuamini
Yule mzee akatoa salamu tukajibu nakuanza kuongea haya
Msiwe na shaka ni mimi nikweli mliona kama ajali ila ile ni kiini macho dada yangu ndio aliyenifanyia haya
Sikuile nilikuwa natoka hospitali kumwona mjomba wangu kipindi narudi nikajikuta ninausingizi wa gafula nikiwa njia basi nikasema ngoja nijipunguze mwendo nipunzike
Muda sio punde nikajikuta nipo sehem tofauti na mazingira niliyokuwepo ila kwakuwa mimi ni mtu wa mila nikajua kinachoendelea na kilichofanyika
Nikiwa huko huko nikafanya mambo ninayoyajua basi hatimae nikatokea sehem nakukuta watu wakiuzika mgombaa ila mimi sikuweza jitokeza kwenye macho ya kawaida mpaka mazishi yalipo kamilika
Kwa alivyoongea vile sikushangaa maana mwenyewe nilishawah kupanda kifuu cha nazi toka zambia mpaka tz mchana kweupe nitaleta stoli hapa ilikuaje
Kwenye kupiga mpunga hawaambiani kimyakimyaMnaacha kutulete stori za namna ya kuingia strongroom ya benki kuu kwa ungo na kutoka na kitita cha heshima , mnatuletea hadithi za mikingamo!
Hamna mkuu nimeandika nilichokionaInaonekana mleta mada ni mtunzi wa hadithi na ana mpango wa kutoa kitabu hivi punde:
kwanza wewe si handsome,muongo.Mrejesho huu hapa
Kwa kuwa ni tukio la kusisimua na kwangu niliona kitu ambacho hakiwezekani
Ikanibidi nichukue usafiri kwa ajili ya kwenda kushuhudia maana mambo ya kusimuliana chumvi zinakuwa nyingi
Hatimae nimewasili mtaan kwa yule mzee nikakutana na majilani zake nao wakiwa wanangoja kwa hamu kumuona yule mzee punde kama majila ya saa sita hivi
Tunaiona gari ikiingia kwenye ile nyumba ya marehem ikabidi tusogelee eneo la tukio
Dah kuja kucheki namuona yule mzee akishuka kwenye gari tena akiwa kwenye mavazi yale yale
Kiukwel majilan na watu waliokuwepo pale hawakuamini
Yule mzee akatoa salamu tukajibu nakuanza kuongea haya
Msiwe na shaka ni mimi nikweli mliona kama ajali ila ile ni kiini macho dada yangu ndio aliyenifanyia haya
Sikuile nilikuwa natoka hospitali kumwona mjomba wangu kipindi narudi nikajikuta ninausingizi wa gafula nikiwa njia basi nikasema ngoja nijipunguze mwendo nipunzike
Muda sio punde nikajikuta nipo sehem tofauti na mazingira niliyokuwepo ila kwakuwa mimi ni mtu wa mila nikajua kinachoendelea na kilichofanyika
Nikiwa huko huko nikafanya mambo ninayoyajua basi hatimae nikatokea sehem nakukuta watu wakiuzika mgombaa ila mimi sikuweza jitokeza kwenye macho ya kawaida mpaka mazishi yalipo kamilika
Kwa alivyoongea vile sikushangaa maana mwenyewe nilishawah kupanda kifuu cha nazi toka zambia mpaka tz mchana kweupe nitaleta stoli hapa ilikuaje
Ayakwanza wewe si handsome,muongo.
na hii story yako imejaa ukakasi.
Mrejesho huu hapa
Kwa kuwa ni tukio la kusisimua na kwangu niliona kitu ambacho hakiwezekani
Ikanibidi nichukue usafiri kwa ajili ya kwenda kushuhudia maana mambo ya kusimuliana chumvi zinakuwa nyingi
Hatimae nimewasili mtaan kwa yule mzee nikakutana na majilani zake nao wakiwa wanangoja kwa hamu kumuona yule mzee punde kama majila ya saa sita hivi
Tunaiona gari ikiingia kwenye ile nyumba ya marehem ikabidi tusogelee eneo la tukio
Dah kuja kucheki namuona yule mzee akishuka kwenye gari tena akiwa kwenye mavazi yale yale
Kiukwel majilan na watu waliokuwepo pale hawakuamini
Yule mzee akatoa salamu tukajibu nakuanza kuongea haya
Msiwe na shaka ni mimi nikweli mliona kama ajali ila ile ni kiini macho dada yangu ndio aliyenifanyia haya
Sikuile nilikuwa natoka hospitali kumwona mjomba wangu kipindi narudi nikajikuta ninausingizi wa gafula nikiwa njia basi nikasema ngoja nijipunguze mwendo nipunzike
Muda sio punde nikajikuta nipo sehem tofauti na mazingira niliyokuwepo ila kwakuwa mimi ni mtu wa mila nikajua kinachoendelea na kilichofanyika
Nikiwa huko huko nikafanya mambo ninayoyajua basi hatimae nikatokea sehem nakukuta watu wakiuzika mgombaa ila mimi sikuweza jitokeza kwenye macho ya kawaida mpaka mazishi yalipo kamilika
Kwa alivyoongea vile sikushangaa maana mwenyewe nilishawah kupanda kifuu cha nazi toka zambia mpaka tz mchana kweupe nitaleta stoli hapa ilikuaje
NimechekaHiv mnatuonaje watanzania???? Sisi ni maz
uzu au???
Ulikuwepo ?khaaa huo uwongo sasa
Haya mauza uza yapo mkuu.Yupo jamaa aliyetumbukizwa mto Kilombero miezi michache iliyopita kawatokea ndugu zake Mwanza.Dah dunia hiyi inamambo
Ni majila ya asubuhi ya tarehe 5/9/2021 natoka zangu hotelini naelekea bus stand kwaajili ya kukata tiketi kuelekea sehemu
Nikiwa njiani nimesimama kungoja bodaboda mara lori linatoka spidi
Kwa mbele yangu namuona mzee mmoja akiwa na pikiki akiwa barabarani nyuma yake ikiwa ile lori ya makaa ya mawe
.ghafla nashuhudia ajali mbaya ya lori kugonga kwa nyuma ile pikipik na yule mzee kutupwa kwa mbele
Hatimae lori inapanda mwili wa yule mzee na kumkanyaga asee sijawah shuhudia kichwa cha binadam kulia midhir ya bom
Nikabaki nimeduwaa na dereva wa roli kutokomea
Punde watu wakajaa na kupiga simu polisi polis wakaja na kuzoa viungo maana si mwili tena hautamaniki
Ikabidi nisitishe zoez la kusafili ili kushiriki kama mtanzania
Bas baada ya siku mbili zikaandaliwa ratiba za kuusafirisha mwili
Na kwenda kupumzishwa kwenye nyumba ya milele
Hatimae akazikwa
Sasa nilichoshangaa jana nimepigiwa simu na ndugu yangu kuwa jamaa uliemshuhudia kugongwa na gari
Kampigia simu mkewake na kumwambia awaambie majiran yeye yuko hai na hajaumia popote kwahiyo akija wasishangae
Kiukweli sikuamini nikajua ndugu yangu ananitania nikapiga simu kwa jamaa zangu wa karibu na nyumb ile ya marehem ndio wakanihadithia vizur
hapa ndio wanamngoja huyo mZee kesho anawasili nitaleta mrejesho hiyi imetokea songea ila huyo jamaa ni mtu wa njombe ni mkinga mke wake mbena
Najiuliza tu inawezekana vipi
Mrejesho upo comment namba 64
Dah hatari sanaHaya mauza uza yapo mkuu.Yupo jamaa aliyetumbukizwa mto Kilombero miezi michache iliyopita kawatokea ndugu zake Mwanza.
Mkuu hawa ndio wachawi wenyeweMAKAFIRI hamuamini mambo ya uchawi?
Mbona makanisani hata majumbani kwenu mnabandika masanamu mnayaabudu. Huo sio uchawi?