ndenjii handsome
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 704
Dah dunia hiyi inamambo
Ni majila ya asubuhi ya tarehe 5/9/2021 natoka zangu hotelini naelekea bus stand kwaajili ya kukata tiketi kuelekea sehemu
Nikiwa njiani nimesimama kungoja bodaboda mara lori linatoka spidi
Kwa mbele yangu namuona mzee mmoja akiwa na pikiki akiwa barabarani nyuma yake ikiwa ile lori ya makaa ya mawe
.ghafla nashuhudia ajali mbaya ya lori kugonga kwa nyuma ile pikipik na yule mzee kutupwa kwa mbele
Hatimae lori inapanda mwili wa yule mzee na kumkanyaga asee sijawah shuhudia kichwa cha binadam kulia midhir ya bom
Nikabaki nimeduwaa na dereva wa roli kutokomea
Punde watu wakajaa na kupiga simu polisi polis wakaja na kuzoa viungo maana si mwili tena hautamaniki
Ikabidi nisitishe zoez la kusafili ili kushiriki kama mtanzania
Bas baada ya siku mbili zikaandaliwa ratiba za kuusafirisha mwili
Na kwenda kupumzishwa kwenye nyumba ya milele
Hatimae akazikwa
Sasa nilichoshangaa jana nimepigiwa simu na ndugu yangu kuwa jamaa uliemshuhudia kugongwa na gari
Kampigia simu mkewake na kumwambia awaambie majiran yeye yuko hai na hajaumia popote kwahiyo akija wasishangae
Kiukweli sikuamini nikajua ndugu yangu ananitania nikapiga simu kwa jamaa zangu wa karibu na nyumb ile ya marehem ndio wakanihadithia vizur
hapa ndio wanamngoja huyo mZee kesho anawasili nitaleta mrejesho hiyi imetokea songea ila huyo jamaa ni mtu wa njombe ni mkinga mke wake mbena
Najiuliza tu inawezekana vipi
Mrejesho upo comment namba 64
Ni majila ya asubuhi ya tarehe 5/9/2021 natoka zangu hotelini naelekea bus stand kwaajili ya kukata tiketi kuelekea sehemu
Nikiwa njiani nimesimama kungoja bodaboda mara lori linatoka spidi
Kwa mbele yangu namuona mzee mmoja akiwa na pikiki akiwa barabarani nyuma yake ikiwa ile lori ya makaa ya mawe
.ghafla nashuhudia ajali mbaya ya lori kugonga kwa nyuma ile pikipik na yule mzee kutupwa kwa mbele
Hatimae lori inapanda mwili wa yule mzee na kumkanyaga asee sijawah shuhudia kichwa cha binadam kulia midhir ya bom
Nikabaki nimeduwaa na dereva wa roli kutokomea
Punde watu wakajaa na kupiga simu polisi polis wakaja na kuzoa viungo maana si mwili tena hautamaniki
Ikabidi nisitishe zoez la kusafili ili kushiriki kama mtanzania
Bas baada ya siku mbili zikaandaliwa ratiba za kuusafirisha mwili
Na kwenda kupumzishwa kwenye nyumba ya milele
Hatimae akazikwa
Sasa nilichoshangaa jana nimepigiwa simu na ndugu yangu kuwa jamaa uliemshuhudia kugongwa na gari
Kampigia simu mkewake na kumwambia awaambie majiran yeye yuko hai na hajaumia popote kwahiyo akija wasishangae
Kiukweli sikuamini nikajua ndugu yangu ananitania nikapiga simu kwa jamaa zangu wa karibu na nyumb ile ya marehem ndio wakanihadithia vizur
hapa ndio wanamngoja huyo mZee kesho anawasili nitaleta mrejesho hiyi imetokea songea ila huyo jamaa ni mtu wa njombe ni mkinga mke wake mbena
Najiuliza tu inawezekana vipi
Mrejesho upo comment namba 64