2 of Amerikaz most wanted
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 1,328
- 3,693
Ibrahim ni hater fuki him
Uyu jamaa ni mwehuHana akili jamaa!
Zlatan anamuhushimu sana Messi sidhani kama anaweza kuongea huo upuuzi nitaamini ukinipatia chanzo Cha hii habar Yako.Ibrahimovic:
"It's very easy to score goals in the MLS. If Messi thinks he's the best in history, he should score at least 7 goals in every game, because he's playing against filmmakers and hip-hop artists."View attachment 2723082
Yeah....Ronaldo ana ufundi gani na wewe?
Ronaldo ni hard worker ila in terms of Ufundi ni Lionel Messi. Messi anacurl freekicks, anapiga pasi za macho, anatoa assists hata katikati ya uwanja.
Ibrahimovic ni hater, anajulikana. Mbona yeye kacheza MSL na hatukusikia akiongea huu utumbo?Ibrahimovic:
"It's very easy to score goals in the MLS. If Messi thinks he's the best in history, he should score at least 7 goals in every game, because he's playing against filmmakers and hip-hop artists."View attachment 2723082
Messi alimpiga mkwara pep Kama hampangi pale mbele afunge na kumpanga zlatan,basi ye ataondoka,ndo kisa zlatan kuondoka barce na hampendi pep anamuita muogaZlatan anamuhushimu sana Messi sidhani kama anaweza kuongea huo upuuzi nitaamini ukinipatia chanzo Cha hii habar Yako.
Kipindi wanacheza wote pale Barca Kuna mechi Zlatan alikuwa Kila akipewa pass anapaisha, kama mara 5 hivi zote anapiga vyongo tena ndani ya kisanduku Cha penalty jamaa akawa stressed kinoma wakati huo Barca wanaongoza 2:1 zote zimefungwa na Messi ikatokea Messi aka dribble mpaka kwenye penalty box wakamkwatua refa akaweka tuta kumbuka aliyetakiwa kuipiga Ile Penalty ni Messi akachukua mpira akamkabidhi Zlatan akafunga ile penalty, Leo hii Zlatan amshushie heshima kiasi hicho?
Chai Ibra ana muheshimu sana Messi, halafu uzuri jamaa sio mnafiki. Kaitafuta interview yake halafu uone maneno aliyo ya ongea kumuhusu Messi.Messi alimpiga mkwara pep Kama hampangi pale mbele afunge na kumpanga zlatan,basi ye ataondoka,ndo kisa zlatan kuondoka barce na hampendi pep anamuita muoga
Chai Hilo suala la cadabra na pep kuhusu namba!?Chai Ibra ana muheshimu sana Messi, halafu uzuri jamaa sio mnafiki. Kaitafuta interview yake halafu uone maneno aliyo ya ongea kumuhusu Messi.
Cadabra ana ugomvi na Pep ila hana ugomvi na Messi. Hata kwenye interview zake jamaa anamkubali Messi mpaka kesho.Chai Hilo suala la cadabra na pep kuhusu namba!?
Ulikana ukadai chai post yangu ya mzozo wa namba pep, cadabra na MessiCadabra ana ugomvi na Pep ila hana ugomvi na Messi. Hata kwenye interview zake jamaa anamkubali Messi mpaka kesho.
Ulikana ukadai chai post yangu ya mzozo wa namba pep, cadabra na MessiCadabra ana ugomvi na Pep ila hana ugomvi na Messi. Hata kwenye interview zake jamaa anamkubali Messi mpaka kesho.
"Messi alimpiga mkwara pep Kama hampangi pale mbele afunge na kumpanga zlatan,basi ye ataondoka,"Ulikana ukadai chai post yangu ya mzozo wa namba pep, cadabra na Messi
We jamaa mpuuzi kweli,tafuta interview ya cadabra ya juzi juzi tu hapa,tatizo mnajifanya mnaujua mpira wakati mmeanza kufuatilia jana"Messi alimpiga mkwara pep Kama hampangi pale mbele afunge na kumpanga zlatan,basi ye ataondoka,"
Nilicho kipinga ni hiko ,kwani 100% ni uwongo/chai.Messi hakuwahi kuwa na msuguano na Cadabra.
Messi anacheza na stiker yoyote haitaji kusimama namba 9,mara nyingia anacheza kulia na kuingia kati, refer David Villa,Ettoo na hata Cadabra au sometimes anasimama namba 10 na hajawahi kuwa mbinafsi na ndio maana ukitaja wachezaji watatu wenye assist nyingi ktk mpira wa miguu Messi yupo.
Wewe ndio mwehu kabisa ,weka link hapa ya hiyo interview ya Cadabra,hizo chai zako sijui unazipikia wapi halafu unasema Cadabra kasema.We jamaa mpuuzi kweli,tafuta interview ya cadabra ya juzi juzi tu hapa,tatizo mnajifanya mnaujua mpira wakati mmeanza kufuatilia jana
Mpaka nikuwekee link!?.. google kijana,mbona mvivu!!..ulisoma ki-spoon feeding!?Wewe ndio mwehu kabisa ,weka link hapa ya hiyo interview ya Cadabra,hizo chai zako sijui unazipikia wapi halafu unasema Cadabra kasema.
Mimi sio kwamba najifanya kujua mpira mimi mpira na ujua hata kama ww hutaki ila haibadilishi kuwa mpira na ujua na sikulazimishi
Weka link hapa ya kuzibitisha chai yako hii ya chini.
👇👇
"Messi alimpiga mkwara pep Kama hampangi pale mbele afunge na kumpanga zlatan,basi ye ataondoka,"
'as a coach he's phenomenal,but as a man..'.......haya nimekutafutia makala hiyo tribunal.com/footballWewe ndio mwehu kabisa ,weka link hapa ya hiyo interview ya Cadabra,hizo chai zako sijui unazipikia wapi halafu unasema Cadabra kasema.
Mimi sio kwamba najifanya kujua mpira mimi mpira na ujua hata kama ww hutaki ila haibadilishi kuwa mpira na ujua na sikulazimishi
Weka link hapa ya kuzibitisha chai yako hii ya chini.
👇👇
"Messi alimpiga mkwara pep Kama hampangi pale mbele afunge na kumpanga zlatan,basi ye ataondoka,"
Ndio maana kuna kitu kinaitwa reference weka link hapa, twende kisomi kwani wasomi wanaongea kwa reference na si chai zako.Mpaka nikuwekee link!?.. google kijana,mbona mvivu!!..ulisoma ki-spoon feeding!?
Weka link, mbona easy copy url iweka hapa,then tuverify hiyo habari na source yako ya hii information.'as a coach he's phenomenal,but as a man..'.......haya nimekutafutia makala hiyo tribunal.com/football
Angecheza QPR hiyo kila kitu angeshinda? Refer Hazard kashinda makombe pale Madrid bila kucheza? Kuna timu zinawabeba.Anamuongelea Messi aliyeshinda kila kitu Ulaya? Au kuna mwingine anayemuongelea?