Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,704
- 3,036
🤣🤣🤣🤣🤣📢A joke about trying to kill me? Are you in your right mind? 😳
🤣🤣🤣🤣🤣📢A joke about trying to kill me? Are you in your right mind? 😳
Wanachapa kazi shoo off tu unachapa kazi huku wananchi hakuna ajira hospitali wazazi wanakufa watoto wanakufa vyumba vya madarasa hakuna maji hakuna umeme mgao kaxi ya kuuza sura na kufoka foka kama majoka ya kibisa jifunze propaganda za kichina siku hizi hazilipiMawazo yako tu hayo. JMP a.k.a Mr Clean.
Ivi umeshatembea hii nchi wewe kwa miaka hii miwili? Kila sehemu kuna eiza Waziri ama Katibu ama mkurungenzi, ama mkuu wa wilaya anachapa kazi.
Nyie mnabaki kuvizia kasema nini huku kazi zinachapwa.
Je kuna badadiliko ama hakuna ? Maana swala la maendeleo si swala la mchezo wala si swala la asubuhi?Wanachapa kazi shoo off tu unachapa kazi huku wananchi hakuna ajira hospitali wazazi wanakufa watoto wanakufa vyumba vya madarasa hakuna maji hakuna umeme mgao kaxi ya kuuza sura na kufoka foka kama majoka ya kibisa jifunze propaganda za kichina siku hizi hazilipi
Swali zuri sana ila kukujibu atajizungusha kama shingo ya feni!Je kuna badadiliko ama hakuna ? Maana swala la maendeleo si swala la mchezo wala si swala la asubuhi?
Kumbe alikuwa anatishwa halafu kurugenzi ya security ya chama haikutoa ulinzi kama kwa Lissu tu?
Hii verse unaweza itafsili wewe unavotaka kwa uelewa wakoLuka 6:26
26 Ole wenu ninyi watu wote watakapowasifu, kwa kuwa baba zao waliwatenda manabii wa uongo mambo kama hayo.Upendo kwa Adui
huo ndio ujumbe aliopewa mkuu wenu, sio kila sifa ni sifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoa ya UCD na YEHODAYA ndo imetoa kichwa cha aina hii.Kumbe alikuwa anatishwa halafu kurugenzi ya security ya chama haikutoa ulinzi kama kwa Lissu tu?
Duh! ila hapa inabidi Mwenyekiti atueleze ukweli.
Je kuna badadiliko ama hakuna ? Maana swala la maendeleo si swala la mchezo wala si swala la asubuhi?
Basi sawa.Nikazani hayapo kabisa. Mtizamo wako
kinacho furahisha ana chanja mbuga kuelekea porini kama amekanyaga uyoga/mdudu full kupoteaJPM anawapiga chenga afu anawa confuse - Hadi watakatika mishipa ya fahamu huku yeye akichanja mbuga.
Akipotea, wewe pia utapotea na wewe kwa miaka saba ijayo.kinacho furahisha ana chanja mbuga kuelekea porini kama amekanyaga uyoga/mdudu full kupotea
2017 ni awamu gani?Hahahahaha!!! awamu hii kila kitu ni hakijawahi kutokwea tangu uhuru wa nchi hii. korosho pia walisema 3300 haijawai kutokea wakati msimu wa 2017 ilikua elf 3617 kwa kg. Yani ni haijawahi kutokea
Sent using Jamii Forums mobile app
amepagawa huyo muziki mnene!2017 ni awamu gani?
apotee na nani? anapotea na wafuasi wake kama ww Barbarosa, kipara kipya and co.Akipotea, wewe pia utapotea na wewe kwa miaka saba ijayo.
Chagua njia iliyo sahihi njia kuelekea nchi ya asali na maziwa muda si mrefu tutafanikiwa!apotee na nani? anapotea na wafuasi wake kama ww Barbarosa, kipara kipya and co.
HahahhahaMa Professor Wengine Ni Wa Hovyo Hawana Uzalendo Mmoja Nilimfukuza Hapo Hapo Kila Ukiteua Mwanamke Wanasema Hawala Yake
Kwa hiyo visa yake ya kuishi hapa nchini inaisha lini!