McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Wakuu,
Huyu hapa ya Kamanda Muliro alipoulizwa kuhusu hizi slogan mbili ya No Reforms No Election pamoja na ile ya Oktoba Tunatiki
Hapa Muliro amesema kwamba ya Oktoba Tunatiki inafuata sheria maana kupiga kura ni jambo ambalo lipo kwenye katibas meanwhile hii ya No Reforms No Election yenyewe inaendana kinyume na Katiba na yeye atakuuliza unazuia Uchaguzi kwa kutumia sheria gani?
Msikilizeni Kamanda Muliro hapa. Hapa alikuwa kwenye Mdahalo wa Wadau wa Amani kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025
Huyu hapa ya Kamanda Muliro alipoulizwa kuhusu hizi slogan mbili ya No Reforms No Election pamoja na ile ya Oktoba Tunatiki
Hapa Muliro amesema kwamba ya Oktoba Tunatiki inafuata sheria maana kupiga kura ni jambo ambalo lipo kwenye katibas meanwhile hii ya No Reforms No Election yenyewe inaendana kinyume na Katiba na yeye atakuuliza unazuia Uchaguzi kwa kutumia sheria gani?
Msikilizeni Kamanda Muliro hapa. Hapa alikuwa kwenye Mdahalo wa Wadau wa Amani kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025