Uzalendo Installer
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 5,379
- 8,848
Heheheeheheh basi we teuzi hazikufaiUzalendo kwenye dhuluma ni uhaini
Heheheeheheh basi we teuzi hazikufaiUzalendo kwenye dhuluma ni uhaini
We mama, unadhani kwa nini deni lina miaka 37 lakini ndege imekuja kukamatwa juzi?Nyie mnaojifanya mnamtetea huyo kibabu najua ni haters wa magufuli
Ila jambo moja muelewe magu abadani si msababishi wa deni hili (causant) yeye ni muathirika tu wa fisadi zilizotokea hapo nyuma ( victim)
Muelewe pia Rais wetu anapokutana na mazito haya... tumuunge mkono si kumbeza
Bado grounding fee... Kila saa inayoondoka makaburu wanachaji packing fee
Duh!!!Kesi ikiisha siku ya kulitoa utapewa proforma invoice ya storage charges.. Ukishalipia ndio unapewa gate pass.... Mzungu hahusiki na hizo gharama kwakuwa hilo dege sio lake
Ahahahaaaa umetema nyongo.Kuna wanakijiji ,kule serengeti kilikuwa kinaitwa Nyamuma kilichomwa na wakaambiwa siyo raia. Baadaye wakafungua kesi na tume zikaundwa ikaonekana kulikuwa na uonevu kwa hao wanakijiji na ikatakiwa walipwe/wafidiwe na warudishwe kwenye kijiji chao. Serikali iligoma kutekeleza huo uamuzi.
Nadhani huyu msouth kaonyesha njia. Nawashauri hao wananchi wavizie lindege jingine kokote walikamate hata walichome tu moto
Kwaiyo tukubaliane dawa ya deni ni kulipaKosa la balozi ni lipi? Kama ni hivyo basi tuanzie na intelijensia yetu hasa nje ya mipaka yetu... Tunapoambiwa kuna vita ya uchumi lazima kuielewa kwa mapana yake na si porojo za wanasiasa majukwaani
Jama kanichefua kweli kushisha ndege, si wangemvizia Mkulu atimbe S.A wamkamate yeye.
Wewe unaunga mkono utaifishaji usiofuata sheria ?!. Deni hili liliamuliwa na mahakama kuu ya Tz . Mbona lisilipwe ?!. Kwanini mlitumia uhamiaji kumnyanyasa huyo mzungu ?!mzungu wa kulipwa biln 500 ni mnyonge.
au ulitaka kusemaje ndugu!!
Ni awamu zote tu. Sio hii tu. Hata Mr Smile naye walewale tu.Dhulma mbaya sana. Yani mtu unadai halafu bado unachimbwa mikwara. Dawa ya deni ni kulipa tu. Ukienda nssf pale watu kibao wanazungushwa mafao wazee ndio unawaonea huruma mara nenda ghorofa ya 6. Kiufupi awamu hii ni awamu iliyojaa dhulma na choyo.
Vibaya sanaaaaa mkuuwanafanya tunaonekana buree kabisa
hata sheri ilivunjwa ili kuilinda tanzania hii hii,na itafuatwa(kulipa deni)mzungu apate haki yake.hivi unadhani kila anayeidai tz akilipwa kama inavyotakiwa kitatokea kitu gani??Wewe unaunga mkono utaifishaji usiofuata sheria ?!. Deni hili liliamuliwa na mahakama kuu ya Tz . Mbona lisilipwe ?!. Kwanini mlitumia uhamiaji kumnyanyasa huyo mzungu ?!
pesa inalipwa,ila utalimia meno mkuu.Kama bado haitoshi wakamate nyingine... dawa ya deni ni malipo tu
Mpaka sasa nalimia meno... hapa tunajadili haki ya mtu sio meno.pesa inalipwa,ila utalimia meno mkuu.
jifunze kulia tu.