munkango
JF-Expert Member
- Sep 12, 2016
- 392
- 703
Pole Sana Mkuu, ukandarasi awamu hii umepigwa pini balaa. Ukiangalia kazi za ujenzi zinazoendelea nchini kama Wakandarasi wa ndani wangepewa japo asilimia 20 hali ingekuwa bora sana.Mimi ni mhanga
Kuna Eng. Yupo mkoa wa tanga na ni mkandarasi 2016 alipigwa stroke upande kwa sababu ya msongo hata mimi niliponea chupu Mungu ni mwema kuona bado ninaishi kutoka kumiliki million 200 hadi 0 yataka moyo sana