Alichokifanya dada huyu siku moja kabla ya harusi

Alichokifanya dada huyu siku moja kabla ya harusi

dickdickinyo

Senior Member
Joined
May 19, 2015
Posts
118
Reaction score
53
Alitembea na mpenzi wake wa zamani kama kuagana baada ya muda akiwa kashaolewa anagundua ni mjamzito kufanya utafiti anagundua mimba ni ya mpenzi wake wa zamani.

Sasa anaomba ushauri amwambie au afanyaje kutatua tatizo kwani amekonda kwa mawazo.
 
Amwambie mume wake kwamba alienda kufanya cha muagano matokeo yake akakurupua mimba huko.....kwa hiyo mume wake ndio atakuwa na uamuzi
 
Alitembea na x wake kama kuagana baada ya muda akiwa kashaolewa anagundua ni mjamzito.kufanya utafiti anagundua mimba ni ya x.Sasa anaomba ushauri amwambie au afanyaje kutatua tatizo kwani amekonda kwa mawazo.

Fisadi ni sawa na kansa akikuingia akilini hakutoki kamwe
Fisadi wa mapenzi huyoo
 
Oktoba 25 Tunapata Majibu Kumbuka Nchi Hii Iko Vibaya Tunataka Upinzani Uingie Ikulu
Mwambie Atulie Tu
Kijana Aitwe Ukawa
 
Alitembea na x wake kama kuagana baada ya muda akiwa kashaolewa anagundua ni mjamzito.kufanya utafiti anagundua mimba ni ya x.Sasa anaomba ushauri amwambie au afanyaje kutatua tatizo kwani amekonda kwa mawazo.

kwani alipoenda kuaga mume wake wa wasa alijua hilo?
 
Nimemkumbuka tu binamu FA "Aliyelala na bibi harusi siku moja kabla ya harusi, na wala si bwana harusi, bado mnanishauri harusi" .
 
Hiyo mbona rahisi sana, asubiri tu baada ya miezi tisa itatoka yenyewe. Na atafurahia maisha ya ndoa na mumewe
 
Haya mambo ya kuleteana mbegu za watu ndani ya nyumba hayafai kabisa. Mbegu zingine ni shiidaa
 
Back
Top Bottom