gazeti la mwananchi 9/19/2009
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amesema kuwa baadhi ya watumishi wa umma hawana uzalendo na uchungu kwa wananchi masikini na ni wezi ndiyo sabababu hawashtuki pale wanapoona kuna mambo hayaendi vizuri.
Waziri Mkuu alisema katika nchi zote walizo tembelea, wameweza kujikwamua katika umasikini kutokana Kilimo.
karibu nchi zote nilizotembelea, walipata uhuru miaka ya 60 kama sisi na kilimo kimeweza kubadilisha maisha ya wananchi wao, kila wakati nilipokuwa wazungumza na wao walikuwa wakisema wataalam,?alisema Pinda na kuongeza:
'nikawauliza mbona kila mara mnasema wataalam wanasiasa hawapo, wakanijibu wanasiasa hawana kazi hapa, tunaaachia wataalam wafanye kazi yao, kwahiyo kwao wataalam wakisema jambo linatekelezwa, kwa hiyo hata sisi tusipowaachia wataalam hatutoki hapa.?
Alisema tafiti pia tafiti zinahitajika sana kwani ndizo zinazotoa mwongozo wa wapi zao gani linastawi na ni mbegu gani zitafaa
Nafikiri amepatia na wakizingatia hayo (in red) tutatoka, ama thinktankers munasemaje? Tuongezee na yapi ili tutoke?
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amesema kuwa baadhi ya watumishi wa umma hawana uzalendo na uchungu kwa wananchi masikini na ni wezi ndiyo sabababu hawashtuki pale wanapoona kuna mambo hayaendi vizuri.
Waziri Mkuu alisema katika nchi zote walizo tembelea, wameweza kujikwamua katika umasikini kutokana Kilimo.
karibu nchi zote nilizotembelea, walipata uhuru miaka ya 60 kama sisi na kilimo kimeweza kubadilisha maisha ya wananchi wao, kila wakati nilipokuwa wazungumza na wao walikuwa wakisema wataalam,?alisema Pinda na kuongeza:
'nikawauliza mbona kila mara mnasema wataalam wanasiasa hawapo, wakanijibu wanasiasa hawana kazi hapa, tunaaachia wataalam wafanye kazi yao, kwahiyo kwao wataalam wakisema jambo linatekelezwa, kwa hiyo hata sisi tusipowaachia wataalam hatutoki hapa.?
Alisema tafiti pia tafiti zinahitajika sana kwani ndizo zinazotoa mwongozo wa wapi zao gani linastawi na ni mbegu gani zitafaa
Nafikiri amepatia na wakizingatia hayo (in red) tutatoka, ama thinktankers munasemaje? Tuongezee na yapi ili tutoke?