Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Hii mechi ya Simba ilikuwa ngumu kwa sababu ya kosa la Kennedy, kwenye mechi kama ile halafu unaamua ku-Maguire ni kitu cha ajabu. Ile wala hata sio reflection bali kutoa kabisa pasi vizuri kwa adui.
Na wala jamaa hakujutia aliona kama kawaida tu,uzuri Kocha akaamua kumtoa kabisa hakurudi tena baada ya halftime.
Tukio la Kennedy mna maoni gani!
Na wala jamaa hakujutia aliona kama kawaida tu,uzuri Kocha akaamua kumtoa kabisa hakurudi tena baada ya halftime.
Tukio la Kennedy mna maoni gani!