Alichofanya anakijua na ndo maana hatarudi Tanzania

Serikali za dunia ndivyo zilivyo,hata Wamarekani anaowalamba miguu ndivyo walivyo.Who ever thinks otherwise is cheating himself. Huwezi kusaliti ukabaki salama.


Naipenda sana Tanzania nchi yangu, na napenda matumizi ya rasimali kwa maslahi mapana ya nchi yetu. CCM kindaki ndaki, shabiki mzuri wa mwenyekiti wangu.

ILA Nashindwa kujua usaliti wa LISSU ni upi? Uko ktk lipi? Kama ni msaliti kwa nini mnaficha huo usaliti wake?

Hivi Lissu wa leo, je ni tofauti na LISSU aliyeanzisha harakati za kudai haki na usawa ktk miktaba ya madini tangu late 2000s?

Hiyo professorial report ya madini/makinikia ilikuwa na kipi kipya na unique tofauti na report za akina Lissu?

Huu ubatizo wenye jina la "msaliti" hautimiliki hata kwa maji na moto. Tutafute lingine.
 
Hivi jamani mwili wa binadamu unaweza ukabeba risasi 16 kwa akili ya kawaida maana ninavyojua jua risasi ina sehemu kuu tatu ina kichwa ambacho kimechongoka pia ina umbo LA laki ambayo hubeba baruti halafu kasha LA nyuma ambayo risasi ikitoka huwa linabaki xaxa lile umbo LA kati huwa linabaruti ambayo asilimia kubwa ndio huleta madhara kwenye mwili xaxa hizo 16 inakuwaje jamanii naombeni mtu anifafanulie vizuri zaidi inakuwaje hapo 16

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ubabaishaji tu Hakuna hata risasi moja iliyogusa mwili wa Lisu. Ni political propaganda hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USTAARABU KWENYE MABEBERU WALIOTUFIKISHA LEO HAPA KWA HALI YA UCHUMI TULIO NAYO?

YANI MSALITI M1 TU KWA NJAA ZAKE AISALITI SERIKALI YAKE KTK ACCASIA(MADINI) SABABU YA UCHUMIA TUMBO LAKE NA AACHWE HIVI HIVI KISA USTAARABU? HATA KIM RAISI WA KOREA YA KASKAZINI ALIWAHI KUMSHONA MJOMBA WAKE RISASI.

KUMBUKA SULEIMAN ALIKUWA NA HEKIMA SANA NDIYOMAANA MUNGU ALIMZIDISHIA BARAKA ZA MALI NYINGI SANA LAKINI HAIKUMZUIA KUAMURU MTOTO ALIYEKUWA AKIN'GANG'ANIWA NA WANAWAKE WAWILI AUWAWE KWA UPANGA.

JE SULEIMANI HAKUJUA KUUA KIUMBE CHAKE MUNGU(MTOTO) NI DHAMBI?

HEKIMA HUHITAJI MAAMUZI MAGUMU WAKATI MWINGINE.
Du! Mkuu umefunguka kwa kauli yenye maamlaka. Pamoja na yote,Turudi kiroho,hata endapo itabidi mzazi hakati mkono wake kwa kinyesi cha mwanae. Kiburi cha madaraka kitapita Tanzania itakuwepo daima. Tuache alama za hekima,ustaarabu na utu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USILOLIJUA....................
Naipenda sana Tanzania nchi yangu, na napenda matumizi ya rasimali kwa maslahi mapana ya nchi yetu. CCM kindaki ndaki, shabiki mzuri wa mwenyekiti wangu.

ILA Nashindwa kujua usaliti wa LISSU ni upi? Uko ktk lipi? Kama ni msaliti kwa nini mnaficha huo usaliti wake?

Hivi Lissu wa leo, je ni tofauti na LISSU aliyeanzisha harakati za kudai haki na usawa ktk miktaba ya madini tangu late 2000s?

Hiyo professorial report ya madini/makinikia ilikuwa na kipi kipya na unique tofauti na report za akina Lissu?

Huu ubatizo wenye jina la "msaliti" hautimiliki hata kwa maji na moto. Tutafute lingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali za dunia ndivyo zilivyo,hata Wamarekani anaowalamba miguu ndivyo walivyo.Who ever thinks otherwise is cheating himself. Huwezi kusaliti ukabaki salama.
Mnaimba kama kasuku, mara usaliti mara uhaini, mara ametumwa na mabeberu.... Mkiulizwa elezeeni huo usaliti au uhaini mnabaki mmekodoa mimacho kama yule bundi aliyetua bungeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alichofanya alidhani kitabaki sirini.serikali Ni kubwa na Ina uwezo wa kupata taarifa nyingi.tusingekupiga bure unafki uliofanya umekupelekea kufanywa kile ulichofanywa.serikali hatuonei mtu Bali mtu anajigonga mwenyewe na kwa kuwa ulidhani hii awamu Ni Kama zile nyingine pole sana.nawasihi wananchi kwa ujumla zingatieni Sana sheria pendeni kuishi kwa uhalali.serikali zipo na zinatambulika na zinapaswa ziogopeke ili amani iwepo.hata historia tu inaonyesha harakati ambazo serikali nyingi imezipitia wakati mwingine baadhi ya watu hutolewa ili kuokoa wengi .yeye alifanya usaliti akatengeneza mtandao wa kujaribu kukwepesha ACCACIA wasionekane waizi.serikali tukachukia Sana kwanini mtu aliyesomeshwa na taifa lake badala atumie elimu yake ya sheria kutushauri tufanye kitu gani kwa maslahi ya taifa yeye akatugeuka anakwenda kuwa watetezi wao na kutuibia Siri ili akawape.shukrani kwa wazalendo mliosimama imara mkakataa rushwa ambazo baadhi ya maofisa walizikubali.baki hukohuko lakini tambua duniani maisha ya mtu hayana thamani mbele ya mustakabali wa serikali za watu.hata hao wazungu wameshauana Sana mpaka kufika Hapo walipo.eti Kuna watu wanajidanganya kuwa Rais hapati usingizi kwa hizi ziara.acheni kujidanganya anayeona aibu Ni yeye aliye huko nchi za magharibi na sio serikali.umewahi kusikia wapi serikali imetishwa na mtu mmoja.come on men!wake up!
Bora wewe umekiri wazi wazi kuhusika kwenu kumshambulia Lissu kwa dhamira ya kumuua kama serikali inayoongozwa na magufuli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naipenda sana Tanzania nchi yangu, na napenda matumizi ya rasimali kwa maslahi mapana ya nchi yetu. CCM kindaki ndaki, shabiki mzuri wa mwenyekiti wangu.

ILA Nashindwa kujua usaliti wa LISSU ni upi? Uko ktk lipi? Kama ni msaliti kwa nini mnaficha huo usaliti wake?

Hivi Lissu wa leo, je ni tofauti na LISSU aliyeanzisha harakati za kudai haki na usawa ktk miktaba ya madini tangu late 2000s?

Hiyo professorial report ya madini/makinikia ilikuwa na kipi kipya na unique tofauti na report za akina Lissu?

Huu ubatizo wenye jina la "msaliti" hautimiliki hata kwa maji na moto. Tutafute lingine.
Utatafutiwa Chama sasa hivi, kwa akili za Lumumba hakuna mwanaccm mwenye akili timamu ya kuhoji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali za dunia ndivyo zilivyo,hata Wamarekani anaowalamba miguu ndivyo walivyo.Who ever thinks otherwise is cheating himself. Huwezi kusaliti ukabaki salama.
Anafikiri hao wazungu ni watakatifu, wakati maovu yao ikiwemo kuanzisha makundi ya waasi na kuvuruga mstakabali wa nchi nyingine kwa maslahi yao ya kisiasa na kiuchumi yapo wazi kabisa
 
Alichofanya alidhani kitabaki sirini.serikali Ni kubwa na Ina uwezo wa kupata taarifa nyingi.tusingekupiga bure unafki uliofanya umekupelekea kufanywa kile ulichofanywa.serikali hatuonei mtu Bali mtu anajigonga mwenyewe na kwa kuwa ulidhani hii awamu Ni Kama zile nyingine pole sana.nawasihi wananchi kwa ujumla zingatieni Sana sheria pendeni kuishi kwa uhalali.serikali zipo na zinatambulika na zinapaswa ziogopeke ili amani iwepo.hata historia tu inaonyesha harakati ambazo serikali nyingi imezipitia wakati mwingine baadhi ya watu hutolewa ili kuokoa wengi .yeye alifanya usaliti akatengeneza mtandao wa kujaribu kukwepesha ACCACIA wasionekane waizi.serikali tukachukia Sana kwanini mtu aliyesomeshwa na taifa lake badala atumie elimu yake ya sheria kutushauri tufanye kitu gani kwa maslahi ya taifa yeye akatugeuka anakwenda kuwa watetezi wao na kutuibia Siri ili akawape.shukrani kwa wazalendo mliosimama imara mkakataa rushwa ambazo baadhi ya maofisa walizikubali.baki hukohuko lakini tambua duniani maisha ya mtu hayana thamani mbele ya mustakabali wa serikali za watu.hata hao wazungu wameshauana Sana mpaka kufika Hapo walipo.eti Kuna watu wanajidanganya kuwa Rais hapati usingizi kwa hizi ziara.acheni kujidanganya anayeona aibu Ni yeye aliye huko nchi za magharibi na sio serikali.umewahi kusikia wapi serikali imetishwa na mtu mmoja.come on men!wake up!

Nasikia hii ishu ilimuudhi sana Ngosha. Nasikia Lissu alikuwa anawapigia simu Accacia kuwa yeye atakuwa mtetezi bora wao sababu anajua vizuri historia ya Madini.

Alikuwa anawaomba accacia kuwa yeye ndio wamtanye wakili kwenye hii kesi na atamuangusha Ngosha sababu anajua wakati mikataba inasainiwa anajua Ngosha alikuwa upande gani. Mawasiliano yake yakadakwa. Ngosha alimaindi kichizi na ndo akaja na île ishu ya Uzalendo.

Kimsingi Tundu alikosea, Wamarekani linapokuja suala la maslahi ya nchi siku zote huwa kitu kimoja.

Hii ishu uliyoandika ndio uhalisia
 
Alichofanya alidhani kitabaki sirini.serikali Ni kubwa na Ina uwezo wa kupata taarifa nyingi.tusingekupiga bure unafki uliofanya umekupelekea kufanywa kile ulichofanywa.serikali hatuonei mtu Bali mtu anajigonga mwenyewe na kwa kuwa ulidhani hii awamu Ni Kama zile nyingine pole sana.nawasihi wananchi kwa ujumla zingatieni Sana sheria pendeni kuishi kwa uhalali.serikali zipo na zinatambulika na zinapaswa ziogopeke ili amani iwepo.hata historia tu inaonyesha harakati ambazo serikali nyingi imezipitia wakati mwingine baadhi ya watu hutolewa ili kuokoa wengi .yeye alifanya usaliti akatengeneza mtandao wa kujaribu kukwepesha ACCACIA wasionekane waizi.serikali tukachukia Sana kwanini mtu aliyesomeshwa na taifa lake badala atumie elimu yake ya sheria kutushauri tufanye kitu gani kwa maslahi ya taifa yeye akatugeuka anakwenda kuwa watetezi wao na kutuibia Siri ili akawape.shukrani kwa wazalendo mliosimama imara mkakataa rushwa ambazo baadhi ya maofisa walizikubali.baki hukohuko lakini tambua duniani maisha ya mtu hayana thamani mbele ya mustakabali wa serikali za watu.hata hao wazungu wameshauana Sana mpaka kufika Hapo walipo.eti Kuna watu wanajidanganya kuwa Rais hapati usingizi kwa hizi ziara.acheni kujidanganya anayeona aibu Ni yeye aliye huko nchi za magharibi na sio serikali.umewahi kusikia wapi serikali imetishwa na mtu mmoja.come on men!wake up!
You nchi SI mali ya mtu au mamake mtu au babake MTU. Atarudi nyumbani tupambane na warundi waliotuvamia na1kutuharibia maadili ya ktz
 
Baada ya kumsikiliza Lisu akiongea na watanzania huko Marekani jana, nimejiridhisha na mambo yafuatayo
1. Anamjua kwa jina mtu aliyeamuru auwawe
2. Anajua watu waliokaa na kupanga mauaji
3. Ndani ya system wapo watu wanaompa Lisu taarifa zote nyeti
4. Kuna watu wengi watapata taabu sana baada ya Lisu kuongea
5. Mataifa ya nje wanaujua ukweli wote
6. Kwenda Ubelijiji ilikuwa ni zaidi ya kwenda hospitalini, kumbuka Balozi za EU zipo Ubelijiji, ICC ipo Ubelijiji, Lisu anaukaribu na maofisa wakuu wa EU na
7. Itakuwa rahisi sana kwa Lisu kufungua kesi ICC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom