mamawee! hapa ndo tunamuona gavana anajenga nyumba yake kwa 1.4bil, hawa watu wapo kwenye nchi iliyojaa madini ya kila aina, ardhi yenye rutuba na rasilimali kibao. Tena wanae mbunge wao mwenye afya na raha tele kila siku. Viongozi kibao wamewazunguka watu hawa, viongozi wasiokera, wasio na huruma hata kidogo.
mbaya sana.